Tanzania ikisimamia Sheria vizuri itafanikiwa zaidi ya Mataifa makubwa

Tanzania ikisimamia Sheria vizuri itafanikiwa zaidi ya Mataifa makubwa

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,541
Reaction score
916
Changamoto inayoisumbua Tanzania ni kulega kwa misimamo ya kusimamia Sheria zake na si vinginevyo

Tanzania ijikite zaidi kwenye kusimamia Sheria zake itafanikiwa kuliko hata Mataifa makubwa

Tanzania ina Sheria nzuri sana za kukuza Uchumi wa Taifa lake lakini bado haijaweka mkazo kwenye kusimamia Sheria

Sheria inapaswa kufundishwa kuanzia darasa la awali hadi ngazi ya juu ili Wananchi wake waishi kwa kufuata Sheria

Tanzania ijitathmini sana kuhusiana na Sheria ihakikishe haiwekezi nguvu tu kwenye kuadhibu wakosefu bali iwekeze nguvu zaidi kwenye kuzuia Uhalifu kabla ya kutendeka na hii ni kwasababu kuna uhalifu mwingine ambao unaingiza hasara kubwa sana kiasi kwamba adhabu kwa aliyetenda uhalifu huo haiwezi kufidia hasara iliyotokea

Miundombinu ya nchi ikiwemo barabara, Reli, Anga, Maji, Mawasiliano, Afya, Umeme, Maji na miundombinu yote nyeti inatakiwa kuongeza makali ya Adhabu kwasababu hasara zake nikubwa sana hata zisizoweza kufidiwa

Taifa linaweza kufilisika moja kwa moja endapo kama halitaweka mkazo kwenye Sheria hivyobasi kuna haja ya kuwekeza nguvu kubwa zaidi kwenye kusimamia Sheria

Taifa likiweza kusimamia Sheria vizuri basi ndani ya miaka mitano au zaidi Tanzania itakuwa nchi bora na ya kuigwa mfano duniani
 
Changamoto inayoisumbua Tanzania ni kulega kwa misimamo ya kusimamia Sheria zake na si vinginevyo

Tanzania ijikite zaidi kwenye kusimamia Sheria zake itafanikiwa kuliko hata Mataifa makubwa

Tanzania ina Sheria nzuri sana za kukuza Uchumi wa Taifa lake lakini bado haijaweka mkazo kwenye kusimamia Sheria

Sheria inapaswa kufundishwa kuanzia darasa la awali hadi ngazi ya juu ili Wananchi wake waishi kwa kufuata Sheria

Tanzania ijitathmini sana kuhusiana na Sheria ihakikishe haiwekezi nguvu tu kwenye kuadhibu wakosefu bali iwekeze nguvu zaidi kwenye kuzuia Uhalifu kabla ya kutendeka na hii ni kwasababu kuna uhalifu mwingine ambao unaingiza hasara kubwa sana kiasi kwamba adhabu kwa aliyetenda uhalifu huo haiwezi kufidia hasara iliyotokea

Miundombinu ya nchi ikiwemo barabara, Reli, Anga, Maji, Mawasiliano, Afya, Umeme, Maji na miundombinu yote nyeti inatakiwa kuongeza makali ya Adhabu kwasababu hasara zake nikubwa sana hata zisizoweza kufidiwa

Taifa linaweza kufilisika moja kwa moja endapo kama halitaweka mkazo kwenye Sheria hivyobasi kuna haja ya kuwekeza nguvu kubwa zaidi kwenye kusimamia Sheria

Taifa likiweza kusimamia Sheria vizuri basi ndani ya miaka mitano au zaidi Tanzania itakuwa nchi bora na ya kuigwa mfano duniani
Huyo wakusimamia sheria nani?Katiba yetu piahatuwezi je yaliyondani yaketunayajua na je tupo tayari kuyasimamia?
 
Changamoto inayoisumbua Tanzania ni kulega kwa misimamo ya kusimamia Sheria zake na si vinginevyo

Tanzania ijikite zaidi kwenye kusimamia Sheria zake itafanikiwa kuliko hata Mataifa makubwa

Tanzania ina Sheria nzuri sana za kukuza Uchumi wa Taifa lake lakini bado haijaweka mkazo kwenye kusimamia Sheria

Sheria inapaswa kufundishwa kuanzia darasa la awali hadi ngazi ya juu ili Wananchi wake waishi kwa kufuata Sheria

Tanzania ijitathmini sana kuhusiana na Sheria ihakikishe haiwekezi nguvu tu kwenye kuadhibu wakosefu bali iwekeze nguvu zaidi kwenye kuzuia Uhalifu kabla ya kutendeka na hii ni kwasababu kuna uhalifu mwingine ambao unaingiza hasara kubwa sana kiasi kwamba adhabu kwa aliyetenda uhalifu huo haiwezi kufidia hasara iliyotokea

Miundombinu ya nchi ikiwemo barabara, Reli, Anga, Maji, Mawasiliano, Afya, Umeme, Maji na miundombinu yote nyeti inatakiwa kuongeza makali ya Adhabu kwasababu hasara zake nikubwa sana hata zisizoweza kufidiwa

Taifa linaweza kufilisika moja kwa moja endapo kama halitaweka mkazo kwenye Sheria hivyobasi kuna haja ya kuwekeza nguvu kubwa zaidi kwenye kusimamia Sheria

Taifa likiweza kusimamia Sheria vizuri basi ndani ya miaka mitano au zaidi Tanzania itakuwa nchi bora na ya kuigwa mfano duniani
miaka 60 yote ccm haijasimamia rasilimali vizur tuipe.mingap tena??
 
Back
Top Bottom