Tanzania, I miss you

Tanzania, I miss you

You are so right, but I have to look after my body and getting fat isn't healthy.

You are absolutely right Mkuu afrodenzi.
Happy Dieting 🙂

ImageUploadedByJamiiForums1434121395.528689.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121421.093557.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121442.360934.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121464.110786.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121527.064805.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121547.324153.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434121567.923368.jpg
 
Last edited by a moderator:
attachment.php



Ya kukaanga hiyo.

Mingine kama huu wa chini ni chelema ila mingine ina unga, sio mbaya
 
ImageUploadedByJamiiForums1434132609.413049.jpg

Nimekaanga kuku. Nikatengeneza pilipili na kutingisha kuku katika container kwa dakika moja.
 
Mkuu BAK, nipo Tokyo. Hapa hamna wageni wengi.

Waafrika wengi ni wa Ghana, Ethiopia na Nigeria na wanahesabika. Inabidi nijifunze mwenyewe pole pole kupika vya home.

Kama Toronto au Boston, hamna matatizo na vyakula vyetu. Kuna wapishi hatari huko.

Mkuu ukiacha vitumbua, vilivyobaki vyote huwa tunakula zinapotokea shughuli za kibongo. Inawezekana huwa hujichanganyi huku Japan, ndio maana vitu vya kibongo unavikosa. Lakini hupikwa na watu huwa tunakumbuka nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukiacha vitumbua, vilivyobaki vyote huwa tunakula zinapotokea shughuli za kibongo. Inawezekana huwa hujichanganyi huku Japan, ndio maana vitu vya kibongo unavikosa. Lakini hupikwa na watu huwa tunakumbuka nyumbani.

Ahsante Mkuu Kalamzuvendi.

Ni kweli, sijichanganyi sana. Ila festival za vyakula pale Harajuku sizikosi, hasa za Jamaica na Brazil.

Nakula vyakula vya nyumbani ikifika African Festival ya Yokohama.
 
Last edited by a moderator:
Hii juice ya ukwaju uchanganye na water melon inakua bomba

Nakumbuka mama akichanganya ukwaju na papai alafu anaweka vipande vya ndimu tamu balaa hususan na kulia pilau

Kweli kabisa. Papaya na ukwaju vinaenda vizuri sana.
 
Back
Top Bottom