Tanzania, I miss you

Tanzania, I miss you

Huko unakoishi Mkuu hakuna Warembo wa kukutengenezea mahanjumati? Baadhi ya warembo wa Kibongo nchi za nje wenye utaalamu katika idara ya jikoni wanatengeneza mahanjumati bomba sana na wengine wameanzisha biashara za mahanjumati na asilimia kubwa ya wateja wao ni Wabongo, huwa wanavuta pesa nzuri sana.

Mkuu BAK, nipo Tokyo. Hapa hamna wageni wengi.

Waafrika wengi ni wa Ghana, Ethiopia na Nigeria na wanahesabika. Inabidi nijifunze mwenyewe pole pole kupika vya home.

Kama Toronto au Boston, hamna matatizo na vyakula vyetu. Kuna wapishi hatari huko.
 
Last edited by a moderator:
We huijui tu hali yangu. Juzi nimempikisha mtu tambi nyeupe nlikua nazitamani vibaya. Na hapo huo mkate wa mchele nshautamani.

Vibaya ivoooo
 
ImageUploadedByJamiiForums1433601551.178016.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1433601569.526933.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1433601583.624475.jpg
 
Back
Top Bottom