msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,738
sorry nilikua namaanisha Iraq nilipokua naishi huko... niliigia jikoni zamu yangu kupika.. nikapika maandazi si mjuzi kivile kama ingekua tanzania ningeishia kuchekwa tu.. ila kule waliyasifia na wakayala hata mezani hayakufika