Tanzania, I miss you

Tanzania, I miss you

Mkuu msumeno.
Tofauti yake kivipi na ya kawaida?

Sijawahi kuyasikia maandazi irag.

sorry nilikua namaanisha Iraq nilipokua naishi huko... niliigia jikoni zamu yangu kupika.. nikapika maandazi si mjuzi kivile kama ingekua tanzania ningeishia kuchekwa tu.. ila kule waliyasifia na wakayala hata mezani hayakufika
 
That fruits salad looks amazing.
I think i'm gonna copy the recipes from here.
Thank you. Tokyo40
 
Last edited by a moderator:
sorry nilikua namaanisha Iraq nilipokua naishi huko... niliigia jikoni zamu yangu kupika.. nikapika maandazi si mjuzi kivile kama ingekua tanzania ningeishia kuchekwa tu.. ila kule waliyasifia na wakayala hata mezani hayakufika

Nimekuelewa Mkuu. Nilifikiri ni aina nyingine ya maandazi.
 
Mimi natoa kasoro tu ila kusema ukweli sijui kupika
Hahahahah mpishi weee

Ahsante Mkuu HARUFU.

Mimi bado mwanafunzi katika upishi. Nafunzwa na sista farkhina.

PS. Mapishi ni ya wengi.
Afadhali wewe unahudhuria darsa utakuwa umenizidi sana.

Ndugu mimi hamna kitu linapokuja suala la mapishi ni kutokana na mazingira niliokulia, nilikuwa namsikiaga Mama akitoa kasoro pale ambapo dada zetu wa kazi wakienda tofauti. Kwahiyo na mimi ninavyosikia maelekezo nilikuwa nayabeba kama yalivyo.

Sema baadae wanakuja kuwa wapishi wazuri sana
 
afestival+307.jpg




Hizi zenyewe, lainiii.

Na hata zikipoa haziwi ngumu zinakatika kiulaini
 
Mimi natoa kasoro tu ila kusema ukweli sijui kupika



Afadhali wewe unahudhuria darsa utakuwa umenizidi sana.

Ndugu mimi hamna kitu linapokuja suala la mapishi ni kutokana na mazingira niliokulia, nilikuwa namsikiaga Mama akitoa kasoro pale ambapo dada zetu wa kazi wakienda tofauti. Kwahiyo na mimi ninavyosikia maelekezo nilikuwa nayabeba kama yalivyo.

Sema baadae wanakuja kuwa wapishi wazuri sana
HARUFU.

Plato alisema "Necessity is the mother of invention".
 
Last edited by a moderator:
Aisee........hapa lazima unipate...........
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    9.5 KB · Views: 170
  • image.jpg
    image.jpg
    7.3 KB · Views: 160
  • image.jpg
    image.jpg
    10.5 KB · Views: 155
  • image.jpg
    image.jpg
    7.4 KB · Views: 162
  • image.jpg
    image.jpg
    5.4 KB · Views: 152
ImageUploadedByJamiiForums1434261781.643717.jpg

Jiko la Yakitori (mishikaki ya kuku).
ntamaholo
 
Last edited by a moderator:
Jiko la kujipikia mwenyewe hotelini. Unaagiza nyama mbichi, viazi vitamu, karoti, vitunguu na mboga,

Nyumbani natumia jiko dogo la umeme (kama picha ya mwisho) kwa upishi huu.

Upishi wa "yakiniku". Asili yake siyo Japan, bali Korea.

ImageUploadedByJamiiForums1434262493.639722.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434262611.823401.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434262633.790545.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434262650.024833.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434262667.957522.jpg
ntamaholo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom