Mamaaa mpaka bungo dah maskini we roho yangu mi nipe na masala tu hilo mdomo umenijaa mate dah!!
Bungo kwa pilipili na chumvi ilooo tamu
Njoo kwangu nnalo frozen ntakutengezea juice ya bungo
Mamaaa mpaka bungo dah maskini we roho yangu mi nipe na masala tu hilo mdomo umenijaa mate dah!!
Hahahaha yaani hata kuniita 😔😔😔
Unalooo 🙂...nipostie basi ntakupenda we mpaka nkubebe!!Bungo kwa pilipili na chumvi ilooo tamu
Njoo kwangu nnalo frozen ntakutengezea juice ya bungo
Unalooo 🙂...nipostie basi ntakupenda we mpaka nkubebe!!
Nmekuita mpaka sauti imekauka we umengangana kumpa darasa Watu8 ya roast la samaki teh
Tutatoana roho jama!!!
Watu8 unalo hilo!!Hahahaha roast kala lote hata kutukaribisha kuonja lol
Huu urojo umepikwa ukapikika...unaonekana mtam!!
Hahahahaah njoo huku bora ntakupikia na supu ya pweza urojo na vyengine tele we unipokie yale maandazi
Huu urojo umepikwa ukapikika...unaonekaba mtam!!
Maandazi umeyapania lazima nikupikie nikija!!
Na mseto tule mpaka tuvimbiwe alafu unakula ugali wa muhogo?
Meza imechafuka dah!!hapo lazima ni forodhani!
Upate chapati na kiporo cha ndondo nazi...