Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Nchi zote za Kiafrica hazina uzoefu wa kuwa nchi.Mtawala uamini nchi ni mali yake binafsi hivyo hawezi tofautisha nchi na familia.Vyombo vya dola badala ya kulinda nchi vinalinda mtawala.Ni jambo la kawaida Sana kukuta askari wanaua watu Ili kumlinda mtawala ambae nae uyafanya maisha ya askari kuzidi kuwa magumu.
Peter Botha alitamka "mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi " ni tusi kwa kweli yaani sisi hatuwezi jiongoza.Trump akasema inafaa tutawaliwe tena upya miaka 100.Iweje waafrika ni fukara japo Wana mali chanzo ni ukosefu wa mfumo sahihi wa uongozi.
Peter Botha alitamka "mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi " ni tusi kwa kweli yaani sisi hatuwezi jiongoza.Trump akasema inafaa tutawaliwe tena upya miaka 100.Iweje waafrika ni fukara japo Wana mali chanzo ni ukosefu wa mfumo sahihi wa uongozi.