Kimsingi Tanzania haina Umeme

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
Najua nyuzi za namna hii huwa hazipendwi sana , hii ni kwa sababu zinaanika uozo wa nchi , viongozi wa nchi , pamoja na watendaji Wazito wenye madaraka Makubwa , maeneo mengine wanaitwa Wawezeshaji ( watoa hela )

Kwenye Nchi ambayo umeme unakatwa kwa eneo la 75% , kwa wakati mmoja huwezi kusema neno lingine zaidi ya kusema Nchi hiyo haina Umeme , Wala siyo Aibu maana ni kweli kwamba Umeme Hakuna .

Ni vema Watanzania tukajifunza kusema ukweli , Maana ukweli haujawahi kuwa dhambi , bali uongo ni dhambi , fedheha na Aibu kuu .

Nakulilia Tanzania
 
Najua nyuzi za namna hii huwa hazipendwi sana , hii ni kwa sababu zinaanika uozo wa nchi , viongozi wa nchi , pamoja na watendaji Wazito wenye madaraka Makubwa , maeneo mengine wanaitwa Wawezeshaji ( watoa hela )

Kwenye Nchi ambayo umeme unakatwa kwa eneo la 75% , kwa wakati mmoja huwezi kusema neno lingine zaidi ya kusema Nchi hiyo haina Umeme , Wala siyo Aibu maana ni kweli kwamba Umeme Hakuna .

Nakulilia Tanzania
Na viongozi kimya kama hakuna crisis kubwa kiasi hiki
 
Najua nyuzi za namna hii huwa hazipendwi sana , hii ni kwa sababu zinaanika uozo wa nchi , viongozi wa nchi , pamoja na watendaji Wazito wenye madaraka Makubwa , maeneo mengine wanaitwa Wawezeshaji ( watoa hela )

Kwenye Nchi ambayo umeme unakatwa kwa eneo la 75% , kwa wakati mmoja huwezi kusema neno lingine zaidi ya kusema Nchi hiyo haina Umeme , Wala siyo Aibu maana ni kweli kwamba Umeme Hakuna .

Ni vema Watanzania tukajifunza kusema ukweli , Maana ukweli haujawahi kuwa dhambi , bali uongo ni dhambi , fedheha na Aibu kuu .

Nakulilia Tanzania
Umeme upo nchi kipindi hiki haina msimamizi makini!
 
Sisi wenye nchi ni bendera kifata upepo hatueleweki tunataka nini tumejaa unafki kupita kiasi, sisi tunao hangaika na sukari na umeme na maji ndio hao hao tunaenda kwenye mikutano ya serikali na ccm kuwashangilia bila kuwahoji ni kwa nini tunapitia ugumu kiasi hiki kwa sababu ya ufisadi na wizi wanao ufanya, tukitoka huko tunarudi kuendelea kuwalaani kuwatukana na kuwaita majina yote ya hovyo tukiwa tumijifungia ndani, hili la umeme lilipaswa kumuondoa bibi chaudele na kuiangusha serikali ya ccm
 
Kwanza ni aibu kwa nchi kubwa kama Tanzania kuwa na umeme megawatt 1600. Nchi ndogo kama korea ina megawatt laki.


Mgao lazima uwepo tu umeme unaozalishwa ni mdogo mno, megawatt 1600 ni ndogo sana, watu ni wengi, matumizi ni mengi, viwanda vitawashwa na umeme upi, na umeme unaozalishwa sio wa uhakika, na mfumo wa usambazaji ni dhaifu.
 
Tumpe muda Mh Raisi ili atalipatia ufumbuzi mzuri , amekosa team ya kumvusha kwenye hili.
 
Back
Top Bottom