Tanzania haina uzoefu wa kuwa nchi ndiyo maana mambo mengi hayana 'consistence ya kitaifa'

Nchi zote za Kiafrica hazina uzoefu wa kuwa nchi.Mtawala uamini nchi ni mali yake binafsi hivyo hawezi tofautisha nchi na familia.Vyombo vya dola badala ya kulinda nchi vinalinda mtawala.Ni jambo la kawaida Sana kukuta askari wanaua watu Ili kumlinda mtawala ambae nae uyafanya maisha ya askari kuzidi kuwa magumu.
Peter Botha alitamka "mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi " ni tusi kwa kweli yaani sisi hatuwezi jiongoza.Trump akasema inafaa tutawaliwe tena upya miaka 100.Iweje waafrika ni fukara japo Wana mali chanzo ni ukosefu wa mfumo sahihi wa uongozi.
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
Tangu lini nchi ikaendelea kwa MFUMO corrupted kama huu?
 
Kwa wale wanahistoria wazuri wataungana na Mimi juu ya hotuba ambayo iliwahi tolewa na rais wa Afrika kusini kaburu Botha juu ya Afrika na Waafrika nitanukuu vitu vichache alivyo sema

"Mwafrika hawezi kujitawala"

"Mwafrika hawezi panga mipango ya muda mrefu"
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.

Mada fikirishi. Inaenda pamoja na like bandiko la mdau la “kufa kwa mihimili ya JMT”.

Mwenyewe najiuliza sana kwamba pamoja na sifa ya Nyerere kujenga taifa la Tanzania lakini ile fahamu ya Utaifa hailekei kuwepo nchini.

Unaona kabisa viongozi na wananchi wanaishi kama vile wamejikuta uhamishoni kwenye nchi kama “the US Wild West” enzi zile. Kila mtu yuko busy kuchuma, kuhujumu na kufisidi ili akatumie utajiri wake kwingine! No sense of nationhood at all! No Tanzanian Pride!
 
Mada fikirishi. Inaenda pamoja na like bandiko la mdau la “kufa kwa mihimili ya JMT”.

Mwenyewe najiuliza sana kwamba pamoja na sifa ya Nyerere kujenga taifa la Tanzania lakini ile fahamu ya Utaifa hailekei kuwepo nchini.

Unaona kabisa viongozi na wananchi wanaishi kama vile wamejikuta uhamishoni kwenye nchi kama “the US Wild West” enzi zile. Kila mtu yuko busy kuchuma, kuhujumu na kufisidi ili akatumie utajiri wake kwingine! No sense of nationhood at all! No Tanzanian Pride!
'The US Wild West'
 
nyie vijana wa nazichadema mna penda sana kuandika mautumbo mengi na mIfano yenu mikubwa ni nchi ya macowboys. nyie nazichadema kufanya kazi hamtaki, bali kukaa nyuma ya keyboards na kuwaza mambo ya kijinga ya kulalamika, usiku mko kwenye tv, chama kinawafia mikononi na vyumba vyenu vya kupanga kodi zinawashinda...sina lakusema zaidi maana shamba langu na mifugo linanisubiri..HAKIKA MNATIA KINYAA....AIBU,AIBU,AIBU,AIBU
 
Tulipoteza miaka mingi sana tukiwa kwenye siasa ya ujamaa, mwalimu alikubali makosa kisha akan'gatuka, sasa hadi leo hatujulikani tupo siasa ya ujamaa ama ya kibepari (Capitalist)

Katiba bado inasema Tanzania ni nchi ya kijamaa huku matendo yetu ni ya kimitaji mitaji, huna chako kaa pembeni wenye nacho wafanye biashara kuushika uchumi.

Hatujijui tupo mfumo upi wa kiuchumi as of now.
 
Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.
una maanisha Oscar Kambona alikuwa sahihi ku-challenge mfumo wa ujamaa mapema sana kwamba hatatufikisha popote kama taifa.
 
una maanisha Oscar Kambona alikuwa sahihi ku-challenge mfumo wa ujamaa mapema sana kwamba hatatufikisha popote kama taifa.
Challenges ndio namna pekee ya kumfanya mwanadamu atumie kipawa chake katika hali ya juu.

Confrontations humwamsha aliyelala na uwezo wake.

Ushindani mkubwa kwenye kila tulifanyalo ndio haswa namna ya kutengeneza checks and balances ya fikra na matendo yetu.

Ukiona mtu asiyependa kuwa challenged au asiyependa ushindani fahamu kwa uhakika kuwa hata exploit vilivyo uwezo wake.

Ukitaka ku exploit uwezo wako wote basi ji expose kwenye mazingira shindani.

Kwenye ushindani kikubwa kinachotakiwa ni 'mazingira ya ushindani kuwa fair'

Kama nchi tunataka tupige maendeleo ya haraka zaidi na ya uhakika basi kila kitu kiwe kwenye uwanja wa ushindani ulio fair kwa kila mshindani.

Iwe kwenye siasa, iwe ofisini, iwe shuleni, hata kanisani pia I mean kila pahala pawe na ushindani maana ndio njia pekee ya ku unveil ule uwezo wa juu wa binadamu.
Cha muhimu kuliko yote 'uwanja wa kushindana uwe very fair kwa kila mshindani'
 
BANDIKO ZURI SANA.

Kweli umechambua kitu safi sanaa hata kwa wale baadhi ya viongozi wetu wenye kupitia mitandao na wakaona bandiko lako basi tuu kuna kitu watakuwa wamekiona.

Pia mimi kwa akili yangu fupi kuwepo katika majukwa kama haya.

Wazo ambalo nalileta hapa sitofautiani na wewee ispokuwa ntaweza gusa kidogo kuhusu basi nini kifanyike.
Kwanza nafikiri kubwa kuliko yote basi Tanzania yetu iwe na malengo ya Muda Mrefu na Malengo ya Muda mfupi (Tanzania Dream).
Katika malengo ya Muda mrefu yawepo yale malengo ya Miaka 5 Miaka 10 Maika 20 na hata Miaka 50.
Mfano Juzi nliona Gazeti moja kwa Millard Ayo lina sema Marekani kufikia mwaka 2030 wanatarajia kumiliki ndege ya speed kubwa yenye kusafiri masaa machache kwa zile safari ndefu za siku nzima.Ukienda China wanamalengo yao ya kimapinduzi ya Technology kwa miaka ya baadae.

Hiyo ni mifano Michache tuu kwa baadhi ya mataifa kuweka malengo ya muda mfupi na ya muda Mrefu.
Ili kila Kiongozi ajae akiona basi anafuata miongozo ya mtangulizi wake nakuanzisha maendeleo mengine madogo madogo katika jamii.

Kuhusu kwenye Ongezeko la Machinga ni dhahiri kabisa tuna wajibu wakusaidia vijana katika kuwaondolea tozo mbali mbali nakugharamia biashara ya kilimo kisicho na kodi yoyote ili tuuze mazao nje ya nchi kufidia pesa za mikopo na misamaha ya kodi ilio tolewa kwa vijana walio jitoa kwenda mashambani.Vijana wakiona faida ya bure wengi wetu tutakimbilia kilimo tuu.

Serikali yenyewe inafanya kufwatilia masoko vijana si nikuchapa kazi shambani kwa bwerere ya kuto kutozwa chochote kuanzia mbegu mbolea usafiri na hata masoko ya nje.

Mwisho basi kuwe na semina mbali mbali zitakazo waweka wananchi karibu na serikali katika kuwaelekeza umuhimu wa Taifa lao miktadha ya kodi na kuwafanya machezo mashindano na Tafrija kwa wananchi wotee kwa pamoja na kuwaungamisha kwa kila mkoa.

Asanteni haya ni mawazo tuu finyu nlio yaona baada ya kupitia bandiko la mwenzangu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
Kweli tupu haya mambo ndio TZ yetu na yamewekwa na CCM kwa faida ya wachache, tuendelee kutafuta katiba mpya. Mbowe aungwe mkono kwa kila namna.
  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali
 
Challenges ndio namna pekee ya kumfanya mwanadamu atumie kipawa chake katika hali ya juu.

Confrontations humwamsha aliyelala na uwezo wake.

Ushindani mkubwa kwenye kila tulifanyalo ndio haswa namna ya kutengeneza checks and balances ya fikra na matendo yetu.

Ukiona mtu asiyependa kuwa challenged au asiyependa ushindani fahamu kwa uhakika kuwa hata exploit vilivyo uwezo wake.

Ukitaka ku exploit uwezo wako wote basi ji expose kwenye mazingira shindani.

Kwenye ushindani kikubwa kinachotakiwa ni 'mazingira ya ushindani kuwa fair'

Kama nchi tunataka tupige maendeleo ya haraka zaidi na ya uhakika basi kila kitu kiwe kwenye uwanja wa ushindani ulio fair kwa kila mshindani.

Iwe kwenye siasa, iwe ofisini, iwe shuleni, hata kanisani pia I mean kila pahala pawe na ushindani maana ndio njia pekee ya ku unveil ule uwezo wa juu wa binadamu.
Cha muhimu kuliko yote 'uwanja wa kushindana uwe very fair kwa kila mshindani'
Una "vitu" sana we jamaa.
 
The Lobbying street

Umechambua vizuri mapungufu ya kiuongozi na udhaifu wa serikali ya CCM ambayo toka uhuru ni serikali ya "chama kimoja" kushika hatamu ya uongozi kama historia inavyoonesha.

Mbaya zaidi hulka ya ubaguzi ya kutowahushisha watanzania wengine wengi wasio wana CCM, chama-kongwe bado hakijataka kuiacha tabia hiyo toka uhuru na hivyo kukosa mawazo mazuri mbadala na ndiyo maana nchi imepata mkwamo toka uhuru mpaka leo hii.
CCM wanaongoza kwa mawazo mgando (kufuata mkumbo) herding behaviour an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of fear, in this Case fearing their leaders or Self-Absorbed group
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
Tatizo kubwa kwa waafrika na watanzania ni kutokujiamini. Hatuwaamini viongozi wetu kama wana uwezo. Siku zote tunafikiria watu wa Marekani ndio wenye uwezo - Marekani imeweza kutoa marais kama akina Kennedy, Obama na Trump. Wote hawa walikuwa na uwezo tofauti tofauti, ambacho nchi ya Tanzania imefanya. Utitiri wa wachuzi ni zao la kufuta ujinga nchini. Watoto wengi wanaenda shule na wakimaliza shule ya msingi hawana uwezo tena wa kushika jembe- wanakuwa hawajazoea kulima shambani kwenye vumbi na jua kali. Wakienda sekondari hivyo hivyo - wanapenda michezo na kukaa bure. Pole pole Tumekuwa tukizalisha Taifa la wavivu . Tumeiga mifumo ya mataifa yaliyoendelea kiviwanda. Kuna nchi ambazo watu wa vijijini siyo rahisi kwenda mijini - lazima upate Kibali maalum. Ni kweli ile vita na nduli Iddi Amini- ilitutoa kabisa kwenye Tanzania dream - kujenga Taifa la Kisoshalisti. Hiyo ndiyo ilikuwa ndoto za mwanzilishi wa Taifa letu.
 
Wewe ndio umepotea kabisa
Tatizo kubwa kwa waafrika na watanzania ni kutokujiamini. Hatuwaamini viongozi wetu kama wana uwezo. Siku zote tunafikiria watu wa Marekani ndio wenye uwezo - Marekani imeweza kutoa marais kama akina Kennedy, Obama na Trump. Wote hawa walikuwa na uwezo tofauti tofauti, ambacho nchi ya Tanzania imefanya. Utitiri wa wachuzi ni zao la kufuta ujinga nchini. Watoto wengi wanaenda shule na wakimaliza shule ya msingi hawana uwezo tena wa kushika jembe- wanakuwa hawajazoea kulima shambani kwenye vumbi na jua kali. Wakienda sekondari hivyo hivyo - wanapenda michezo na kukaa bure. Pole pole Tumekuwa tukizalisha Taifa la wavivu . Tumeiga mifumo ya mataifa yaliyoendelea kiviwanda. Kuna nchi ambazo watu wa vijijini siyo rahisi kwenda mijini - lazima upate Kibali maalum. Ni kweli ile vita na nduli Iddi Amini- ilitutoa kabisa kwenye Tanzania dream - kujenga Taifa la Kisoshalisti. Hiyo ndiyo ilikuwa ndoto za mwanzilishi wa Taifa letu.
 
Kumradhi kwa kila mtu naomba nisionekane nimetukana ila huu ni mtazamo wangu tu.

Kila kitu ni uzoefu. I mean kila kitu ili kifanyike kwa usahihi mkubwa panahitajika uzoefu. Hii ni law of nature in doing things.

Watu wengi hulalamika kuhusu mwenendo wa Tanzania kisiasa, kielimu, nk.

Watu hulalamika kuhusu Mahakama, Bunge, Serikali, n.k.

Watu wengi zaidi humlalamikia Mama wa watu Rais Samia na kumtwisha kila mzigo kuhusu mengi kwenye nchi hii, lakini ukweli ni huu hapa:

Tanzania kama Tanzania haina uzoefu qa kuwa nchi. Soma historia with open minds utaelewa hili.

J. K. Nyerere ndio rais wa Kwanza TANZANIA, ndio Waziri Mkuu wa Kwanza TANZANIA. Namaanisha kabla ya Nyerere Tanzania haikuwa na uzoefu wowote ule wa kuwa nchi huru, bali muda wote lilikuwa koloni tu.

Nawakumbusha tu Mama Maria na wake wengine wa viongozi founders wa Tanzania bado wapo hai hadi sasa hiki ni kiashiria tosha kwamba bado Tanzania ni changa haina uzoefu wa kuwa nchi.

Nyerere aliiga kila kitu maana hana ajualo. Mfumo wa uchumi, mfumo wa elimu, mfumo wa kisiasa, mfumo wa ulinzi wa Taifa, mfumo wa Jeshi la Polisi, yaani kila kitu maana hana ajualo.

Kwa kifupi yeye kupewa hajui nini atafanya zaidi zaidi ni kufuata mkumbo wengine wanafanyaje maana yeye ndo Kiongozi wa juu wa Kwanza kwenye nchi.

Miaka ya 1978/1979/1980 na kuendelea kidogo Mzee Baba aizamishe nchi kiuchumi maana ndo hivyo tena vita tunapigana hatuna uzoefu na mambo hayaendi ki ujumla. Tanzania haina uzoefu na mambo hayo.

Akaja Mwinyi. Akafanya anavyojua huku Nyerere akimnanga mara kwa mara lakini ndio hivyo naye anafanya ajualo maana uzoefu wa ki nchi kuwa nchi bado ni mdogo sana. Akapita na ruksa yake mambo yakaendelea.

Akaja mkapa akaunda taasisi kibao kama unavyoziona akina TRA n.k. Akaona isiwe ishu akabinafsisha ajuavyo naye akapita miaka yake 10. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja J. M. Kikwete. Naye akaendelea kufanya ajuavyo kwa aonavyo yeye. Lkn bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Akaja JPM naye akafanya ajuavyo. Bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Now, tupo na Rais Samia zigo lote kwake. Lakini bado TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi.

Ukitazama toka Nyerere hadi Rais Samia utaona kitu kimoja kinamis. Hiki hapa: TANZANIA ni nini?

Niwakumbushe kidogo. Kwa wale wanaopenda kufuatilia film za USA kuna kamsemo wanasemaga 'This is America' yaani dizain km they have their own ways of doing matters kwa namna ya kujisifu. Zaidiiiiiiiiii wao wana kitu huita 'American Dream' na hiki ndiko haswa Tanzania haina.

Tanzania haina 'Tanzania Dream' bali kila ajaye hufanya aonavyo. Why? B'se TANZANIA haina uzoefu wa kuwa nchi. Unadhani ni kwanini? Ni kwa sababu ya mlolongo wa vitu vidogo vidogo mfano:

  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali

Kwa maneno mengine: Tanzania haina uzoefu wa chochote kile. Usije kusema tuna uzoefu wa kupigania Uhuru maana Uhuru tumepewa mezani.

Uzoefu huleta impacts, husababisha consequences ziwe positive ama negative.

YAANI UKIWA NA UZOEFU UNAKUWA UNAJUA NIKIFANYA HIVI KITATOKEA HIKI AMA HAKITATOKEA KILE; NA NISIPOFANYA HIKI KITATOKEA KILE AMA HAKITATOKEA KILE. NIKIKWAMA KUFANYA HIKI, NAJARIBU ROUTE HII NA ILE HADI NAFANIKISHA. HUU NDIO UZOEFU. LAKINI HAPA NAZUNGUMZIA KATIKA LEVEL YA KI NCHI.

Kwa mfano Magufuli alikuwa akizungumzia sana uchumi viwanda. Na asichojua ni kwamba viwanda ni uchumi wa wazungu toka miaka ya 188.. na wamechapana hasa sababu ya viwanda. Mwishowe hakuna viwanda Tanzania kama ilivyopigwa promo.

Kwa mfano: Kwa sasa wamachinga wanaondolewa barabarani, kimsingi ni Jambo jema. Lkn hv kuna mtu amewahi kufikiria nini kimesababisha ongezeko la machinga kiasi hiki?

Nionavyo mimi ni kwamba: Hili la machinga ni indication ya wazi kabisa kuwa muelekeo wa uchumi wa kitaifa upo in a very wrong direction. Maana tunaumba Taifa la wachuuzi wa bidhaa feki za wachina.

Kwa nini imekuwa hv? Ni kwa sababu hatuna a 'TANZANIA DREAM' ambayo ipo very clear kwa kila mtanzania kiasi kwamba yeyote awe Kiongozi ama raia atakayehujumu harakati za 'Tanzania Dream' basi huyo halali yetu.

Kuna mtu atasema Tanzania Dream ni kuondoa Ujinga, Maradhi na Umaskini.

Mm nadhani ujinga - tuna shule kila Kona na vyuo kila Kona na internet juu hahahhaah hivyo ujinga is no more.

Maradhi - Hospitals kila pahala, Watalaam kila kona. Tena siku hz tunavuka bahari kwenda kutibiwa huko. Hivyo hili sio ishu tena.

Umaskini - Yeah huyu ni adui. Lkn ili kumuondoa huyu tunahitaji Kwanza kuondoa Uoga na Upumbavu. Trust me chanzo kikuu cha umaskini ni uoga, Uvivu na Upumbavu.

Kwangu mie naona kwa sasa maadui wakubwa wa Taifa letu ni: Uoga, Uvivu na Upumbavu hahahahahaha.

Uoga simaanishi kwenye mambo ya siasa bali kwenye kupambana kujikomboa kifikra, kimapato, nk. Uvivu hii ipo very clear. Upumbavu ni kuacha ku deal na nonsenses badala yake tu deal na masuala yenye tija zaidi. Kuna Semina moja niliwahi kuhudhuria Shigongo anafundisha. Nakumbuka aliasa kwamba hili ni Taifa la masikharamasikhara. Kuna mtu anabisha?

Nini kitakuja kuwaondoa CCM madarakani? Wala sio CHADEMA ama chama chochote cha kisiasa, bali ni:

(AJIRA NA HALI NGUMU YA MAISHA)

Kadri kundi la wasio na ajira wanavyozidi kuongezeka; na kadri kundi la wenye ugumu wa maisha linavyozidi kuongezeka ndivyo CCM inavyozidi kuwa na hali ngumu kisiasa.

Nauliza 'TANZANIA DREAM' ni ipi?

Kumradhi: Sijui nimeandika nini, ila nimejikuta nimeandika tu. Lkn naomba msamaha kwa kila mmoja kama nimewakwaza baadhi.
Ila tuna uzoefu mkubwa sana wa kupiga dili za kibinafsi binafsi na hizo ndio dreams zetu tangu tukiwa bado Shuleni tunachowaza na kuwazua ni jinsi gani tutapiga dili la nguvu !! Kila mtu anawaza Dili !!
 
Kweli tupu haya mambo ndio TZ yetu na yamewekwa na CCM kwa faida ya wachache, tuendelee kutafuta katiba mpya. Mbowe aungwe mkono kwa kila namna.
  • Raia hawana uzoefu wa kuwa raia
  • Viongozi hawana uzoefu wa kuwa viongozi
  • Tanzania haina uzoefu wa kunyima haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwapa haki raia
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa kuimarisha mfumo wa siasa
  • Tanzania haina uzoefu wa wananchi wake kukosa ajira
  • Tanzania haina uzoefu wa masuala ya uchumi na biashara
  • Tanzania haina uzoefu wa kutoingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuingilia mihimili mingine
  • Tanzania haina uzoefu wa kuharibu mifumo ya elimu
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa maskini
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa tajiri
  • Tanzania haina uzoefu wa kuwa high performance kwenye masuala mbalimbali
Mbona unazungumzia uzoefu badala ya uwezo au unamaanishani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom