Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,101
Uongozi ni dini na dini ni ibada na dini ni kuungama, kutubu, kuwa msafi, kukataa uwongo na unafiki.
Kwa awamu zote za utawala toka uhuru nchi hii haijapata kiongozi , ni ukweli usiopingika haijatokea.
Hoja yangu, hawa viongozi wamekuwa na watu wao wanaowaamini, they have had people whom they trust in their inner circle, but they have given no freedom to their inner circle whom they trust to openly and sincerely criticize them when the go wrong.
Kiongozi asiewapa uhuru toshelevu watu wake anao waamini kumkosoa kwa dhati sio kiongozi bali ni nyapara fulani lenye hulka ya ufalme.
Kama unabisha kiongozi gani wa Tanzania alieacha legacy ya kuwapa watu wake wa karibu, marafiki anao waamini wamkosoe kwa uwazi kwa jambo lolote, pasipo yeye kujisikia vibaya?
Anaebisha karibuni.
Kwa awamu zote za utawala toka uhuru nchi hii haijapata kiongozi , ni ukweli usiopingika haijatokea.
Hoja yangu, hawa viongozi wamekuwa na watu wao wanaowaamini, they have had people whom they trust in their inner circle, but they have given no freedom to their inner circle whom they trust to openly and sincerely criticize them when the go wrong.
Kiongozi asiewapa uhuru toshelevu watu wake anao waamini kumkosoa kwa dhati sio kiongozi bali ni nyapara fulani lenye hulka ya ufalme.
Kama unabisha kiongozi gani wa Tanzania alieacha legacy ya kuwapa watu wake wa karibu, marafiki anao waamini wamkosoe kwa uwazi kwa jambo lolote, pasipo yeye kujisikia vibaya?
Anaebisha karibuni.