Tanzania Election 2010 Results as per NEC

Hivi kwa nini Chadema hawatoi matokeo yao according to data kutoka kwa wasimamizi wao vituoni? NEC wamechelewa kutoa hayo matokeo kwa uzembe wao sidhani kama ni uvunjaji wa sheria wakati wao wamepewa kopi zao. Wanashindwa kujumlisha kura takriban 20 million? Ingekuwa mpunga wangefanyaje?

Hatutaki mikutano ya siri tunataka matokeo yote ASAP. Hatuko kwenye stone age yya wagagagigikoko? Tutamuacha JK aendelee na U-robin cruso wake.
 
Slaa anaburuzwa mbaya Zenji. Hivi hakujua kwamba anagombea uRais wa Jamhuri? Na Prof Lipumba anaburuzwa mbaya Bara. Mkiambiwa wapinzani hamko serious mnabisha. Maybe you should have united? Kura za Slaa + CUF + NCCR zinazifunika za JK.

Kinachonishangaza, Chadema walitegemea ushindi wa kiti cha urais hata kwenye majimbo ambayo hawakusimamisha mgombea ubunge na udiwani...,,JK akishinda wanasema anachakachuwa....!! Yani ni sawa na mwanafunzi anayetegemea kufaulu hata masomo ambayo hakufanya mtihani...kazi kweli kweli.
 
Mkuu usisahau kututumia nakala
Nitakuletea mchana huu, sio siri, nimeboreka sana na utoaji majibu wa NEC, it was supposed to be an interesting event, sasa kushinda hotelini siku ya tatu leo, uende pale mara tatu kwa siku!.

UNDP imewapatia NEC kila kilichohitajika kutoa matokeo kwa siku mbili.

Wamewezeswa kila kitu na UNDP, wamepewa laptop na scanner, kila jimbo ili wakishahesabu, watangulize matokeo kwa internet na baada ya hapo wascan na kutuma NEC. internet moderm zinazoshika mitandao yote!. Hizo computers ziko installed na spreadsheet za kujaza tuu matokeo na ukichakachua zitajua, wameziweka pembeni, sasa ni kuchakachua kwa kwenda mbele.

Naamini baada ya uchaguzi huu, Mwenyekiti na Mkurugenzi wake, waacheni wastaafu kwa amani. Yule kijana wa Zek aletwe ku head NEC ni funga kazi!.

Kwenye write up ya UNDP, Election Support Project, walisema matokeo yangekuwa interactive as they come in through digital big screen huku tunaona. Sasa imekuwa ni vice versa, yakija, kwanza yapikwe, ndipo tupakuliwe hakuna cha interactive wala big scree zaidi ya projectors!.
 
Ndio bado tunasubiria hapa matokeo yatolewe.

Mode, unaweza kuzihamisha hapa hizi attachment na kuupdate ile posti ya kwanza.
 
Mkuu wa kitengo cha ICT cha NEC, Dr. Cisti Karia, amesema matokeo ya jimbo kwa jimbo, yatatangazwa na NEC kadri yanavyofika na kuonekana kwenye Big Screen mbili zilizoko ukumbini humu.
dr cist karia waeleze watanzania ukweli kuhusu system yene je haichakachuliwi na ofisi yenu ndogo ya uchakachuaji iliyopo upanga shame on you nec!
 
Saa hizi, wametangaza majimbo mengine matano ya mwisho kwa usiku wa leo.
Nimeyaatach hapa kwenye hili zip folder.
Nadhani baada ya uchaguzi huu, NEC pia itabinafsishwa epewe mwekezaji kuja kutuendeshea uchaguzi wetu huu.
Niimagine UNDP wametoa nini ili matokeo yakamilike within 3 days!
 

Attachments

  • 03-11-2010-8pm.zip
    937.3 KB · Views: 50
Huyu Babu kachoka na mzee wake Kiravu...Yaani ndo kwanza majimbo 175 mpaka jioni ya leo huenda wakamaliza kutangaza jumapili ..kumbe hata kuchakachua nako kuna hitaji muda ...tume watangaze yale matokeo yao waliyoyaanda tujue moja kuliko kupotezeana muda kwa kuwaweka watu usku then wanatangaza majimbo matano tu..wakat tayari wanayo matokeo rasmi yaliyochakaluliwa kuonesha JK ameshindwa asilimia kadhaa
 
Saa hizi, wametangaza majimbo mengine matano ya mwisho kwa usiku wa leo.
Nimeyaatach hapa kwenye hili zip folder.
Nadhani baada ya uchaguzi huu, NEC pia itabinafsishwa epewe mwekezaji kuja kutuendeshea uchaguzi wetu huu.
Niimagine UNDP wametoa nini ili matokeo yakamilike within 3 days!

thanks yako vizuri kuangalia. tutengenezee ya ubunge pia
 
Haya mambo huaza Kama utani, huanzishwa na tume ya Uchaguzi, yakshatokea eti upinzani hulaumiwa
 
Waikristu mmeshindwa mnaanza kulia kulia. Poleni sana tutaonana 2015. Ccm oyee, waislamu oyee

You are not even a human being!! You are just a ghost!! who care about somebody's religion? We care about our country, it is not a case of islam and christians.
 
Back
Top Bottom