Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,196
- 128,928
- Thread starter
- #21
Mwenyekiti wa NEC ndio ameingia na kuanza kutangaza matoke ya majimbo 10. ameanza na jimbo la Micheweni, Lipumba kaongoza
KWa kuwa wachakachuaji wote wako tayari majimboni, tunaanza kupewa yaliyochakachuliwa!!!
Mungu tusaidie...:doh:
Njombe Kusini
JK 22337
Dr. 6848
Prof. 80
Mbona sioni mkiandika updates wakuu?
So far JK anaongoza au sio?
baada ya kutangaza majimbo matano, sasa ni mapumziko a dakika moja.