Tanzania Commandos show


Nashukuru kwa maelezo yako,noted.
 
Mfano kuweka mwili fit,jinsi ya kutumia bastola, sky diving na kadhalika mi napenda tu nijue ila bila kulitumikia jeshi.

Ok anza na matumizi ya mwili wako tu, zipo centre nying za self defense na combat techs! !!!
Matumizi ya bastola anzia na online techs ujue kwanza theory na requirements nyingine kwa mfano google (mark's man) utaona deflections na maana zake!!!!
Sky diving nchi nyingine ni kama recreation tu! !!!!!

Komando ni suala zaid ya hayo juu kwa mfano walinzi wa viongozi wanapiga hayo unayotaka saaaana ila kwa komando wanakaa fasta tu!!!!!
 

Oh sawa nimeelewa,nashukuru
 
!
!
tumeona komando kipensi na komando joni sembuse comando maandazi hawa, kuna mdau kasema pamoja na kushuka na marashuti sijui maparachute walishindwa kuzuia twiga asipande ndege
 
Hongera sana kwa kuandaa kilichobora zaidi! Kweli uzalendo unazaliwa nao! lakini serikali mbili no!
 
Nafikiri umefika muda sasa kuwekeza au kuibua technolojia na mafunzo ya tecnolojia jeshini kama wafanyavyo mataifa ya wenzetu kwa mafanikio makubwa.
 

jifunze lugha ndo uje kutukana wenzio humu
 
hivi yeye 'luteni' anaweza hata jogging ya kilomita moja!? Tz kwa maigizo tuko vizuri sana.
 
jifunze lugha ndo uje kutukana wenzio humu

Ningekujibu na kujaribu ku explain ila i realized u r a person not familiar with slangs or txt msg chats, so itakuwa a waste of my time, but as far as the modern time is concerned, there is nthing wrong with tht sentence, secondly naomba usiinite mimi mtusi maana soma comment yangu unieleze wapi nimemtusi mtu?
 
bwana mdogo nasisitiza kajifunze lugha,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…