Brightly

JF-Expert Member
Apr 28, 2022
261
353
Habari Wanajf nawasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania?.Bila kupoteza muda nimekuja kwenu ndugu zangu najua humu jf nitapata ushaurii utakaonisaidia maake naamini jf ni kisima Cha maarifa na pia inawezekana nikapata msaada. Mimi naitwa John Nina umri wa miaka 26,mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii (ordinary diploma in civil engineering) mwaka 2020 kutoka chuo cha ufundi Arusha. Safari yangu ya elimu ilianza mwaka 2006 ambapo nilianza darasa la kwanza licha ya kwamba shule ambayo nilikuwa nasomaa haikuwa ikifanya vizurii lakini nilikuwa nafanya vizurii masomo yangu ambapo tangia nikiwa la kwanza mpaka nahitimu la saba nilikuwa nakuwa wa kwanza. nilichaguliwa kuingiaa kidato Cha kwanza mwaka 2012 kwa kupata grade A. Nilipoingia kidato Cha kwanza moto wangu ulikuwa ni ule ule niliendelea kuongoza Hadi kidato cha Nne ambapo pia nilifaulu vzr mtihani wa kidato Cha nne na kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga Diploma ya civil engineering kwa ufadhili wa serikali. Muda wote huo ndoto yangu kubwa ilikuwa siku moja kuwa mtumishi wa serikali ili niweze kulitumikia taifa langu kwa weledi (nikiwa mdogo pale kijijini nilikuaga naona njisii watumishi wa serikalini wanavyoheshimika).ila mpaka nilipofika saivii ndoto zangu zinaendelea kufifia kwanii nilishafanya saili nyingi bila mafanikio na sina mtu yeyote wa kunishika mkono. Mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo ila sikupewa asilimia zote na familia haina uwezo wa kunilipia hela inayobakia,kuhusu kujiajili Sina mtajii,kuhusu makampuni binafsii nimeishafanya ila nilichoka kwa sababu ya kukaa hata miezii mitatu,minne mpaka mitano bila kulipwa chchote.Hivyo basi kwa heshima na taadhima naomba mwenye connection au ushaurii wwote ambao utanifanya kupiga hatua kutoka hapa nilipo.
 
Habari Wanajf nawasalimu kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania?.Bila kupoteza muda nimekuja kwenu ndugu zangu najua humu jf nitapata ushaurii utakaonisaidia maake naamini jf ni kisima Cha maarifa na pia inawezekana nikapata msaada. Mimi naitwa John Nina umri wa miaka 26,mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzii (ordinary diploma in civil engineering) mwaka 2020 kutoka chuo cha ufundi Arusha. Safari yangu ya elimu ilianza mwaka 2006 ambapo nilianza darasa la kwanza licha ya kwamba shule ambayo nilikuwa nasomaa haikuwa ikifanya vizurii lakini nilikuwa nafanya vizurii masomo yangu ambapo tangia nikiwa la kwanza mpaka nahitimu la saba nilikuwa nakuwa wa kwanza.nilichaguliwa kuingiaa kidato Cha kwanza mwaka 2012 kwa kupata grade A.nilipoingia kidato Cha kwanza moto wangu ulikuwa ni ule ule niliendelea kuongoza Hadi kidato cha Nne ambapo pia nilifaulu vzr mtihani wa kidato Cha nne na kufanikiwa kuchaguliwa kujiunga Diploma ya civil engineering kwa ufadhili wa serikali. Muda wote huo ndoto yangu kubwa ilikuwa siku moja kuwa mtumishi wa serikali ili niweze kulitumikia taifa langu kwa weledi (nikiwa mdogo pale kijijini nilikuaga naona njisii watumishi wa serikalini wanavyoheshimika).ila mpaka nilipofika saivii ndoto zangu zinaendelea kufifia kwanii nilishafanya saili nyingi bila mafanikio na sina mtu yeyote wa kunishika mkono. Mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo ila sikupewa asilimia zote na familia haina uwezo wa kunilipia hela inayobakia,kuhusu kujiajili Sina mtajii,kuhusu makampuni binafsii nimeishafanya ila nilichoka kwa sababu ya kukaa hata miezii mitatu,minne mpaka mitano bila kulipwa chchote.Hivyo basi kwa heshima na taadhima naomba mwenye connection au ushaurii wwote ambao utanifanya kupiga hatua kutoka hapa nilipo.

Sasa John kwa uandishi huu usiokua hata na aya (paragraphs) huoni una kila sababu ya kukosa ajira? Hakuna andiko la aina hii linaweza kumvutia muajiri yoyote kulisoma na kukupa kazi.
Na hapa ndio utatambua kwanini primary school ulifundishwa mwandiko, uandishi wa habari, imla n.k
Na utajua pia kwanini secondary school OLEVEL kwa mchepuo wowote lazima usome lugha yaani kiswahili na kiingereza

Kaa chini uandike vizuri buana
Wewe msomi eti
 
Sasa John kwa uandishi huu usiokua hata na aya (paragraphs) huoni una kila sababu ya kukosa ajira? Hakuna andiko la aina hii linaweza kumvutia muajiri yoyote kulisoma na kukupa kazi.
Na hapa ndio utatambua kwanini primary school ulifundishwa mwandiko, uandishi wa habari, imla n.k
Na utajua pia kwanini secondary school OLEVEL kwa mchepuo wowote lazima usome lugha yaani kiswahili na kiingereza

Kaa chini uandike vizuri buana
Wewe msomi eti
Nashukuru kwa ushaurii wako but kutokuwekaa paragraph hapa imechangia tuu na ugenii wa kuandika maandiko marefu hapa jf,,natambua umuhimu wa uandishii mzurii,
 
Ingia kwenye web ya yap markez jaza details zako apply walipost juzi nafasi za kazi kwa civil technicians ukijaza vizuri huwa hawana tabu kukuita katika usaili huko ndiyo ukashindwe wewe tu.

Kwa ajili ya ujenzi wa LOT 4 bila shaka.
Nashukuru mkuu ngoja nifanyee hivyo
 
nilifaulu vzr
Halafu mama d ndio unamjibu ivyo mdogo wako. Don't pull someone down is looking someone to uplift him ,if you can't do it please don't keep pressing and giving pains in his heart please.
May be you don't know or getting what's he's saying intuitively.
Sio wote wanaojua shida za watu. Pia anayopitia ama Hali aliyopo hawezi kuandika vizuri.

Sasa John kwa uandishi huu usiokua hata na aya (paragraphs) huoni una kila sababu ya kukosa ajira? Hakuna andiko la aina hii linaweza kumvutia muajiri yoyote kulisoma na kukupa kazi.
Na hapa ndio utatambua kwanini primary school ulifundishwa mwandiko, uandishi wa habari, imla n.k
Na utajua pia kwanini secondary school OLEVEL kwa mchepuo wowote lazima usome lugha yaani kiswahili na kiingereza

Kaa chini uandike vizuri buana
Wewe msomi eti
 
Halafu mama d ndio unamjibu ivyo mdogo wako. Don't pull someone down is looking someone to uplift him ,if you can't do it please don't keep pressing and giving pains in his heart please.
May be you don't know or getting what's he's saying intuitively.
Sio wote wanaojua shida za watu. Pia anayopitia ama Hali aliyopo hawezi kuandika vizuri.

Sidhani kama jibu langu lilikua la kumvunja moyo.

Lilikua jibu la kumfanya ajue wapi anakosea na ajirekebishe.

keisangora kama jibu langu limekuumiza vumilia ujikaze na kuukubali huo ukweli kwamba hatuwasaidii watu kwa kuwaplease au kuwahurumia katika kushindwa kujieleza kwa umakini. Ila tunawaajiri watu kwa kuona unadhifu na uwezo wao kwa kile walichokiwakilisha kwetu, kisha ndio tunaangalia na ile huruma ya kukaa muda mrefu bila kazi.

Tunawahurumia watu kwa kuwaambia wapi wana mapungufu na nini wafanye kufanikiwa.

Nikivaa kiatu cha muajiri mtiririko wake wa maandishi tuu unaondoa huruma ya kumpa kazi
 
Halafu mama d ndio unamjibu ivyo mdogo wako. Don't pull someone down is looking someone to uplift him ,if you can't do it please don't keep pressing and giving pains in his heart please.
May be you don't know or getting what's he's saying intuitively.
Sio wote wanaojua shida za watu. Pia anayopitia ama Hali aliyopo hawezi kuandika vizuri.
Nashukuru saana ndugu kwa kuelewa ninachojisikia Mimi,Mungu akubarikii sana
 
Sidhani kama jibu langu lilikua la kumvunja moyo.

Lilikua jibu la kumfanya ajue wapi anakosea na ajirekebishe.

keisangora kama jibu langu limekuumiza vumilia ujikaze na kuukubali huo ukweli kwamba hatuwasaidii watu kwa kuwaplease au kuwahurumia katika kushindwa kujieleza kwa umakini. Ila tunawaajiri watu kwa kuona unadhifu na uwezo wao kwa kile walichokiwakilisha kwetu, kisha ndio tunaangalia na ile huruma ya kukaa muda mrefu bila kazi.

Tunawahurumia watu kwa kuwaambia wapi wana mapungufu na nini wafanye kufanikiwa.

Nikivaa kiatu cha muajiri mtiririko wake wa maandishi tuu unaondoa huruma ya kumpa kazi
Ila elewa all our decisions are emotional based and not brain/logic/reason/ cortex brain.
Unavyoongea ni sahihi Ila in the heat of moment unasahau uandishi kiusahihi. Na sio kuwa unamhurumia ndio umpe kazk Bali najua Ni TRADING.
Mfano let say umetoka kufumania Mr wako Yuko na shoga yako ,halafu ndani ya mwezi huo huo uambiwe kuwa andika barua ya kujieleza mahala ili upewe kazi ama fundraiser ,ama ukafanye ishu ambayo inahitaji calm mind. Can you do it correctly
 
Sidhani kama jibu langu lilikua la kumvunja moyo.

Lilikua jibu la kumfanya ajue wapi anakosea na ajirekebishe.

keisangora kama jibu langu limekuumiza vumilia ujikaze na kuukubali huo ukweli kwamba hatuwasaidii watu kwa kuwaplease au kuwahurumia katika kushindwa kujieleza kwa umakini. Ila tunawaajiri watu kwa kuona unadhifu na uwezo wao kwa kile walichokiwakilisha kwetu, kisha ndio tunaangalia na ile huruma ya kukaa muda mrefu bila kazi.

Tunawahurumia watu kwa kuwaambia wapi wana mapungufu na nini wafanye kufanikiwa.

Nikivaa kiatu cha muajiri mtiririko wake wa maandishi tuu unaondoa huruma ya kumpa kazi
Sio vibayaa kumshauri mtu,ila ukiniambia ninapokosea ni kwenye uandishii siyo kwelii ni vile tu kwamba usilolijua ni sawa na usiku wa giza,maake sijawahii kutumaa maombi niache kuitwa kwenye written interview ila sehemu ninayoshindwa ni kwenye oral interview
 
Sasa John kwa uandishi huu usiokua hata na aya (paragraphs) huoni una kila sababu ya kukosa ajira? Hakuna andiko la aina hii linaweza kumvutia muajiri yoyote kulisoma na kukupa kazi.
Na hapa ndio utatambua kwanini primary school ulifundishwa mwandiko, uandishi wa habari, imla n.k
Na utajua pia kwanini secondary school OLEVEL kwa mchepuo wowote lazima usome lugha yaani kiswahili na kiingereza

Kaa chini uandike vizuri buana
Wewe msomi eti
Ni injinia sio mhariri 😎
 
Ila elewa all our decisions are emotional based and not brain/logic/reason/ cortex brain.
Unavyoongea ni sahihi Ila in the heat of moment unasahau uandishi kiusahihi. Na sio kuwa unamhurumia ndio umpe kazk Bali najua Ni TRADING.
Mfano let say umetoka kufumania Mr wako Yuko na shoga yako ,halafu ndani ya mwezi huo huo uambiwe kuwa andika barua ya kujieleza mahala ili upewe kazi ama fundraiser ,ama ukafanye ishu ambayo inahitaji calm mind. Can you do it correctly

Iwe baada ya fumanizi au talaka cha msingi ni kutambua kwamba wanaosoma tangazo lako la kazi hawataona hisia zako ila watasoma ulichokiandika na ulivyoandika.

Kama ana shida ya kazi kweli kweli atanielewa, vinginevyo aendelee kudeka akisubiri huruma
 
Back
Top Bottom