Tangazo Maalum: Kwa Wana JF Tu!

Status
Not open for further replies.
nilifikiri anaongea kitu cha maana, baba yako anatuhusu nini mkuu, hapa tujadili mambo ya kujenga, sio kuwekeana sherehe za uchochoroni huko, ina faida gani hiyo kwa jamii ya kitz hata utushirikishe watu wote sisi? samahani kukujibu hivi, nimeshindwa kujizuia.

Roho mbaya tu hiyo inakusumbua wewe.Kama vp si ungekaa kimya tu...Hongera sana kwa mzee wetu Chigwiyemisi kwa kufikia umri huo.Mungu amzidishie maisha marefu,bado twazihitaji busara zake
 
Ukimcheki mwana JF jinsi alivyo copyright na Mzee, huulizi, hayo mengine nadhani ni mambo ya kifamily wezee wetu wa Kiafrika si wanaeleweka lakini?.

Hongera Billy, sherehe ilifana sana, niliifuatilia kupitia media.
Halafu dingi alipendeza sana na ile suti haswa kwa kuzingatia ameirudisha tena ile heshima na identity yake bila tai.

Kutimiza miaka 75 still going strong, looks good, ukimuondoa Rashidi, yeye sasa ndio mwenye busara aliyebakia baada ya Baba wa Taifa katika safu ya wapigania uhuru.

Hongera sana Mzee J. S. M na kijana Bill.
 
Kumbe Malecela hana mtoto wa kiume! wote wametangulia mbinguni. Hivyo huyu aliotoa tangazo hapa ni Family member kumbe!
Hongereni naona party ilifana.

Samahani wakuu wangu JF, ni kwamba sina access ya mtandao, hapa nimeazima tu laptop ya mtu, ni kwamba:-

1. Sherehe zinaendelea kama zilivyopangwa, jana ilikuwa siku ya watoto wa yatima, leo zimehamia nyumbani Sea View, kuna wana JF waliojitokeza hapa saafi sana.

2. Pia naomba kugusa kidogo huu ujumbe wa ndugu mmoja hapo juu kuhusu watoto wa Mzee Malecela, ni ishu ambayo imekwua ikisemwa kwa muda mrefu sana, lakini cha muhimu ni kwamba ukweli uko wazi na Tanzania kama kawaida huwa tunasumbuliwa sana na waandishi makanjanja ambao huandika bila kuuuliza maswali muhimu sana ya kiandishi na hivyo kuishia kuupotosha umma, ni kwamba Mzee Malecela ana watoto wafuatao:-

- Waliotangulia mbele ya haki ni watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike, na sio wawili kama Michuzi alivyoandika, nao ni wakiume Senyagwa Malecela, Mkwawi Ippy Malecela, na wa kike ni DK. Irene Malecela.

- Waliobaki ni saba, sio watatu kama ilivyosemwa na Michuzi, nao ni kwa umri:-

1. Wiiliam Malecela.
2. DK. Mwele Malecela.
3. DK. Secelela Malecela.
4. Mwendwa Malecela Bisendo.
5. Tully Malecela Mwaipopo (Adapted)
6. Samweli Malecela.
7. Nyagwa Malecela.


3. Sasa kati ya hawa watoto wakiume ni wawili, na wengine ni wa kike, sasa ukichanganya na watoto wanne wa mkewe ambaye alimuoa hivi karibuni
wanakuwa ni watoto 11, kwa sababu ukioa mke si na watoto wanakuwa wako!

- Kwa hiyo hii habari ya Michuzi ndio hasa bongo tunaouita uandishi wa ukanjanja.

Kwaherini na tutaonana tena soon, hapa uwanjani.

William.
 
- Kwa hiyo hii habari ya Michuzi ndio hasa bongo tunaouita uandishi wa ukanjanja.

William.

Asante William, nakuita Bill, tumekuelewa na tumekusikia. Naomba nikubaliane na wewe, Michuzi alikosea, ila kwa kosa hilo, lisiwe sababu ya kumuita anafanya uandishi wa Ukanjanja.

Jee mwandishi kanjanja ni nani?. kanjanja ni mwandishi ambaye hana chombo aandikiacho, kazi yake kulenga 'free bees na brown envelopes'. kanjanja mwingine ni mtu anayejifanya mwandishi kwa malengo hayo hayo lakini si mwandishi.

Michuzi ni mwandishi muajiriwa wa gazeti rasmi, hivyo kwenye makanjanja haingii, lakini hata kama angekuwa sio mwajiriwa, kitendo pekee cha kumiliki
ile globu yake ya jamii, ni tosha kutomuingiza kwenye kundi la makanjanja.

kosa la michuzi ni kudhania watoto wa Mzee ni wale tuu aliyewazoea enzi zile akiishi Oysterbay. watoto waliozoeleka home kwa Mzee, walikuwa wale tuu waliotajwa na Michuzi, japo Mzee ni mkarimu ki ukweli ukweli maana tangu enzi hizo, kwake kulikuwa na ndugu wengi.
 
Samahani wakuu wangu JF, ni kwamba sina access ya mtandao, hapa nimeazima tu laptop ya mtu, ni kwamba:-

1. Sherehe zinaendelea kama zilivyopangwa, jana ilikuwa siku ya watoto wa yatima, leo zimehamia nyumbani Sea View, kuna wana JF waliojitokeza hapa saafi sana.

2. Pia naomba kugusa kidogo huu ujumbe wa ndugu mmoja hapo juu kuhusu watoto wa Mzee Malecela, ni ishu ambayo imekwua ikisemwa kwa muda mrefu sana, lakini cha muhimu ni kwamba ukweli uko wazi na Tanzania kama kawaida huwa tunasumbuliwa sana na waandishi makanjanja ambao huandika bila kuuuliza maswali muhimu sana ya kiandishi na hivyo kuishia kuupotosha umma, ni kwamba Mzee Malecela ana watoto wafuatao:-

- Waliotangulia mbele ya haki ni watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike, na sio wawili kama Michuzi alivyoandika, nao ni wakiume Senyagwa Malecela, Mkwawi Ippy Malecela, na wa kike ni DK. Irene Malecela.

- Waliobaki ni saba, sio watatu kama ilivyosemwa na Michuzi, nao ni kwa umri:-

1. Wiiliam Malecela.
2. DK. Mwele Malecela.
3. DK. Secelela Malecela.
4. Mwendwa Malecela Bisendo.
5. Tully Malecela Mwaipopo (Adapted)
6. Samweli Malecela.
7. Nyagwa Malecela.

3. Sasa kati ya hawa watoto wakiume ni wawili, na wengine ni wa kike, sasa ukichanganya na watoto wanne wa mkewe ambaye alimuoa hivi karibuni
wanakuwa ni watoto 11, kwa sababu ukioa mke si na watoto wanakuwa wako!

- Kwa hiyo hii habari ya Michuzi ndio hasa bongo tunaouita uandishi wa ukanjanja.

Kwaherini na tutaonana tena soon, hapa uwanjani.

William.
Ma DK. Kibao wewe lini unakuwa DK. Changamka
 
Samahani wakuu wangu JF, ni kwamba sina access ya mtandao, hapa nimeazima tu laptop ya mtu, ni kwamba:-

1. Sherehe zinaendelea kama zilivyopangwa, jana ilikuwa siku ya watoto wa yatima, leo zimehamia nyumbani Sea View, kuna wana JF waliojitokeza hapa saafi sana.

2. Pia naomba kugusa kidogo huu ujumbe wa ndugu mmoja hapo juu kuhusu watoto wa Mzee Malecela, ni ishu ambayo imekwua ikisemwa kwa muda mrefu sana, lakini cha muhimu ni kwamba ukweli uko wazi na Tanzania kama kawaida huwa tunasumbuliwa sana na waandishi makanjanja ambao huandika bila kuuuliza maswali muhimu sana ya kiandishi na hivyo kuishia kuupotosha umma, ni kwamba Mzee Malecela ana watoto wafuatao:-

- Waliotangulia mbele ya haki ni watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike, na sio wawili kama Michuzi alivyoandika, nao ni wakiume Senyagwa Malecela, Mkwawi Ippy Malecela, na wa kike ni DK. Irene Malecela.

- Waliobaki ni saba, sio watatu kama ilivyosemwa na Michuzi, nao ni kwa umri:-

1. Wiiliam Malecela.
2. DK. Mwele Malecela.
3. DK. Secelela Malecela.
4. Mwendwa Malecela Bisendo.
5. Tully Malecela Mwaipopo (Adapted)
6. Samweli Malecela.
7. Nyagwa Malecela.

3. Sasa kati ya hawa watoto wakiume ni wawili, na wengine ni wa kike, sasa ukichanganya na watoto wanne wa mkewe ambaye alimuoa hivi karibuni
wanakuwa ni watoto 11, kwa sababu ukioa mke si na watoto wanakuwa wako!

- Kwa hiyo hii habari ya Michuzi ndio hasa bongo tunaouita uandishi wa ukanjanja.

Kwaherini na tutaonana tena soon, hapa uwanjani.

William.
Ma DK. Kibao wewe lini unakuwa DK. Changamka
 
Asante William, nakuita Bill, tumekuelewa na tumekusikia. Naomba nikubaliane na wewe, Michuzi alikosea, ila kwa kosa hilo, lisiwe sababu ya kumuita anafanya uandishi wa Ukanjanja.

Jee mwandishi kanjanja ni nani?. kanjanja ni mwandishi ambaye hana chombo aandikiacho, kazi yake kulenga 'free bees na brown envelopes'. kanjanja mwingine ni mtu anayejifanya mwandishi kwa malengo hayo hayo lakini si mwandishi.

Michuzi ni mwandishi muajiriwa wa gazeti rasmi, hivyo kwenye makanjanja haingii, lakini hata kama angekuwa sio mwajiriwa, kitendo pekee cha kumiliki
ile globu yake ya jamii, ni tosha kutomuingiza kwenye kundi la makanjanja.

kosa la michuzi ni kudhania watoto wa Mzee ni wale tuu aliyewazoea enzi zile akiishi Oysterbay. watoto waliozoeleka home kwa Mzee, walikuwa wale tuu waliotajwa na Michuzi, japo Mzee ni mkarimu ki ukweli ukweli maana tangu enzi hizo, kwake kulikuwa na ndugu wengi.

- Huwezi kuandika habari za watoto wa mzee yoyote wa kia-Africa bila ya kufanya uthibitisho wa kiandishi, nimewasiliana na Michuzi tayari na amelielewa hilo na kurekebisha habari yake, na besides Michuzi ni mtuwangu tena longtime na hakuwahi kuishi Obey kama ulivyosema na hakuwahi kufika na kuwazoea kul;e Obey kama unavyosema, pole sana mkuu.

- Nyumbani kwa Mzee Malecela, siku zote kumekuwa na watoto wengi sana sio hao unaodai tu mkuu wangu, kuanzia wake mpaka wa ndugu zake na wote walikuwa wakiitwa Malecela, kuanzia kina Martin, Imma, Bupe, Catherine RIP, Samweli, Salome, Mboka, yaani siwezi kuwamaliza majina ni wengi mno mkuu sasa bado hoja yako ni hafifu sana ndugu yangu, kwa sababu Michuzi hakuwahi kufika pale hata siku moja ili kuwazoea.

Ahsante Mkuu.

William.
 
Ma DK. Kibao wewe lini unakuwa DK. Changamka

- Pole sana mkuu, ila nikichangamka kuliko nilivyo sasa, basi nitaharibu kila kitu na besides ninayo elimu ya kutosha, kuanzia darasani mpaka ya maisha, samahani sihitaji u-DK, kwa sasa labda huko mbele ya safari.

- Lakini ahsante kwa ushauri wako, ila usijione mnyonge mbele ya wanaoitwa DK, maana ni binadamu tu kama wewe, au na wewe ni DK? Unajua mimi ninaogopa sana u-DK wa online! Maana matokeo yake ndio haya kujaribu kuipindisha mada kwa chuki na wivu mpaka inatia kinyaa, naona umejaribu kila njia kuuharibu huu mjadala mdogo sana lakini umekwama sasa uko kwenye u-DK, pole sana mkuu!

William.
 
Huwezi kuandika habari za watoto wa mzee yoyote wa kia-Africa bila ya kufanya uthibitisho wa kiandishi, nimewasiliana na Michuzi tayari na amelielewa hilo na kurekebisha habari yake...

Nakubaliana na wewe 100%. Tena sio familia ya mzee wa ki-Afrika tu, yeyote yule, huwezi ukajiandikia tu habari za familia na watoto wa mtu bila kuwa na uhakika. Ndio haya mambo, tukisema Kikwete ana watoto wangapi, oooh, haituhusu. Eti leo ndio Watanzania, tena na wa humu JF, wameshtuka Nyerere alikuwa na watoto 7.

Michuzi anadai Dr. Mwele ni "mtoto mkubwa wa Malecela." Ana maana gani mtoto mkubwa? Kasahihishwa, umemuwekea mpaka listi ya ki-umri, na bado anachemka.

Michuzi, kama ulivyosema, ni mwandishi kanjanja. Tena Michuzi hana kisingizio, kwa maana ana kila aina ya access ya kusugua mabega na wakubwa. Lakini huwa haulizi kabla ya kuandika.
 
Bwana mdogo William, asante sana kwa mwaliko huu. Lakini kwa bahati mbaya ama nzuri mimi kaka yako sintapata muda wa kujumuika na nyinyi katika sherehe hiyo.

Ila tafadhali mfikishie ujumbe wangu Baba yetu Malecela kwamba ninamuomba kwa heshima zote kwamba sasa umefika muda wa yeye kustaafu mambo yote ya siasa (Chama na Serikali) na arudi Dodoma kulima na kufuga.

Alivyokuwa kijana na nguvu zake alichangia kile alichoweza kuchangia kuliendesha Taifa. Lakini kwa sasa bila shaka hatuhitaji tena mawazo yake kwani yamepitwa na wakati. Hana jipya atakalolileta kwa sasa. Mambo ya ubabe na kutoa amri kwa sasa hayana nafasi tena. Apumzike kama alivyofanya Kawawa na wazee wengine na bila shaka tutampa heshima yake. Lakini kuchamba kwingi.................
 
Hiyo ilikuwa ni changamoto yangu kwako. kwa taarifa yako naelekea huko, sina kasoro wewe endelea tu kutukaribisha mambo ya PHD tuaschie sisis. KWAHERI

- Sherehe zimeisha sasa, na all went well hakuna kasoro kabisa, tunamshukuru Mungu na wote waliohudhuria sherehe hizi, pia nitoe heshima kwa wana-JF wote waliohudhuria.

- Mkuu hapo juu, ahsante sana kwa ushauri wako.

William.
 
1.
Bwana mdogo William, asante sana kwa mwaliko huu. Lakini kwa bahati mbaya ama nzuri mimi kaka yako sintapata muda wa kujumuika na nyinyi katika sherehe hiyo.

- Sawa sawa tupo pamoja mkuu.

2.
Ila tafadhali mfikishie ujumbe wangu Baba yetu Malecela kwamba ninamuomba kwa heshima zote kwamba sasa umefika muda wa yeye kustaafu mambo yote ya siasa (Chama na Serikali) na arudi Dodoma kulima na kufuga.

Alivyokuwa kijana na nguvu zake alichangia kile alichoweza kuchangia kuliendesha Taifa. Lakini kwa sasa bila shaka hatuhitaji tena mawazo yake kwani yamepitwa na wakati. Hana jipya atakalolileta kwa sasa. Mambo ya ubabe na kutoa amri kwa sasa hayana nafasi tena. Apumzike kama alivyofanya Kawawa na wazee wengine na bila shaka tutampa heshima yake. Lakini kuchamba kwingi................
- Mkuu Kidatu, kwanza nilidhani you are for real, kumbe bado una tatizo lako kwa sababu unataka Mwakyembe awe rais, ninaomba kukwambia hivi Malecela alishastaafu siku nyingi sana katika siasa, amebaki kuwa mbunge kutokana na ridhaa yetu wananchi wa jimbo lake, na bado tunamuomba aendelee hata uchaguzi ujao kwa sababu kuwa kuwepo kwake kunatusaidia sana kupata attention ya viongozi wakuu na serikali kimaendeleo, as opposed na majimbo mengine jirani na letu, kwa hiyo kama unaongelea kupumzika ubunge naomba nikwambie wazi kwamba sisi wananchi wa jimbo lake tunaridhika naye sana.

- Sasa naona bado una tatizo na maoni yake kuhusu nani awe next rais, kwenye hilo siwezi kukusaidia, kwa sababu ni haki yake kisheria kusema nani anafaa kua raisi, sasa kwa nini unapoteza muda na kuandika hapa kila siku kuhusu mawazo yaliyopitwa na wakati? Yanakukera mpaka unaandika matusi mengi sana humu forum kwa nini mkuu? Mbona unamuogopa sana na maneno huyu Mzee au kuna something you know, maana toka azungumze umelia sana vipi unalilia mawazo yaliyopitwa na wakati?

- Ndugu yangu unasikitisha sana kwa sababu tamaa yako ya mali inakusuta sana, Malecela hajamzuia Mwakyembe au Mwandosya kuwa marais, nyinyi wenyewe ndio hamna mipango ya kisasa iliyo imara na kuweza kushinda uchaguzi, sasa msisingizie Malecela wakati kumbe hamna uwezo wa kushinda urais, labda wewe na hao wenzako mngekaa pembeni na siasa maana kama mnasumbuliwa na kiongozi aliyepitwa na wakati, mtatusaidia vipi taifa? Ningekuomba ufike mahali ukubali ukweli maana na haya matusi yako mengi uliyoyaandika so far ndani ya hii forum against Malecela, huwasaidii Mwakyembe na Mwandosya kama unavyofikiri, ila unawaharibia maana wao binafsi wanajua kwamba bila ya yeye hawawezi kwenda mbele zaidi ya hapo walipo kisiasa, uamuzi ni wako mkuu kusuka au kunyoa!

Respect.

FMES!
 
Samahani wakuu wangu JF, ni kwamba sina access ya mtandao, hapa nimeazima tu laptop ya mtu, ni kwamba:-

1. Sherehe zinaendelea kama zilivyopangwa, jana ilikuwa siku ya watoto wa yatima, leo zimehamia nyumbani Sea View, kuna wana JF waliojitokeza hapa saafi sana.

2. Pia naomba kugusa kidogo huu ujumbe wa ndugu mmoja hapo juu kuhusu watoto wa Mzee Malecela, ni ishu ambayo imekwua ikisemwa kwa muda mrefu sana, lakini cha muhimu ni kwamba ukweli uko wazi na Tanzania kama kawaida huwa tunasumbuliwa sana na waandishi makanjanja ambao huandika bila kuuuliza maswali muhimu sana ya kiandishi na hivyo kuishia kuupotosha umma, ni kwamba Mzee Malecela ana watoto wafuatao:-

- Waliotangulia mbele ya haki ni watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike, na sio wawili kama Michuzi alivyoandika, nao ni wakiume Senyagwa Malecela, Mkwawi Ippy Malecela, na wa kike ni DK. Irene Malecela.

- Waliobaki ni saba, sio watatu kama ilivyosemwa na Michuzi, nao ni kwa umri:-

1. Wiiliam Malecela.
2. DK. Mwele Malecela.
3. DK. Secelela Malecela.
4. Mwendwa Malecela Bisendo.
5. Tully Malecela Mwaipopo (Adapted)
6. Samweli Malecela.
7. Nyagwa Malecela.

3. Sasa kati ya hawa watoto wakiume ni wawili, na wengine ni wa kike, sasa ukichanganya na watoto wanne wa mkewe ambaye alimuoa hivi karibuni
wanakuwa ni watoto 11, kwa sababu ukioa mke si na watoto wanakuwa wako!

- Kwa hiyo hii habari ya Michuzi ndio hasa bongo tunaouita uandishi wa ukanjanja.

Kwaherini na tutaonana tena soon, hapa uwanjani.

William.
Ahsante kwa kunifahamisha. Loh! waandishi wengine mh!!! ilimradi jina.
 
sasa ukichanganya na watoto wanne wa mkewe ambaye alimuoa hivi karibuni
wanakuwa ni watoto 11, kwa sababu ukioa mke si na watoto wanakuwa wako!
William.

Labda kikwenu sawa, lakini kwetu, mke ndio anakuwa wakwako ila watoto wana baba yao. Labda hao watoto wawe walipatikana katika mazingira tata.
 
1.
- Sawa sawa tupo pamoja mkuu.

2.

- Mkuu Kidatu, kwanza nilidhani you are for real, kumbe bado una tatizo lako kwa sababu unataka Mwakyembe awe rais, ninaomba kukwambia hivi Malecela alishastaafu siku nyingi sana katika siasa, amebaki kuwa mbunge kutokana na ridhaa yetu wananchi wa jimbo lake, na bado tunamuomba aendelee hata uchaguzi ujao kwa sababu kuwa kuwepo kwake kunatusaidia sana kupata attention ya viongozi wakuu na serikali kimaendeleo, as opposed na majimbo mengine jirani na letu, kwa hiyo kama unaongelea kupumzika ubunge naomba nikwambie wazi kwamba sisi wananchi wa jimbo lake tunaridhika naye sana.

- Sasa naona bado una tatizo na maoni yake kuhusu nani awe next rais, kwenye hilo siwezi kukusaidia, kwa sababu ni haki yake kisheria kusema nani anafaa kua raisi, sasa kwa nini unapoteza muda na kuandika hapa kila siku kuhusu mawazo yaliyopitwa na wakati? Yanakukera mpaka unaandika matusi mengi sana humu forum kwa nini mkuu? Mbona unamuogopa sana na maneno huyu Mzee au kuna something you know, maana toka azungumze umelia sana vipi unalilia mawazo yaliyopitwa na wakati?

- Ndugu yangu unasikitisha sana kwa sababu tamaa yako ya mali inakusuta sana, Malecela hajamzuia Mwakyembe au Mwandosya kuwa marais, nyinyi wenyewe ndio hamna mipango ya kisasa iliyo imara na kuweza kushinda uchaguzi, sasa msisingizie Malecela wakati kumbe hamna uwezo wa kushinda urais, labda wewe na hao wenzako mngekaa pembeni na siasa maana kama mnasumbuliwa na kiongozi aliyepitwa na wakati, mtatusaidia vipi taifa? Ningekuomba ufike mahali ukubali ukweli maana na haya matusi yako mengi uliyoyaandika so far ndani ya hii forum against Malecela, huwasaidii Mwakyembe na Mwandosya kama unavyofikiri, ila unawaharibia maana wao binafsi wanajua kwamba bila ya yeye hawawezi kwenda mbele zaidi ya hapo walipo kisiasa, uamuzi ni wako mkuu kusuka au kunyoa!

Respect.

FMES!
Heshima mbele mkuu.

Ni matusi gani niliyoandika hapa kuhusu malecela toka alipotoa kauli yake siku aliyoongea na waandishi wa habari?. Mkuu mbona unanishambulia kwa nisilotenda?. Nimemtukana wapi huyu mzee?.
 
Asante sana Billy kwa mwaliko. Sikupata bahati ya kuusoma mwaliko huu hapa JF vinginevyo ningehudhuria kwanza kwa heshima ya Mzee Malecela na mama Anne Kilango, a woman I like most.

Hata hivyo, nilishiriki kikamilifu kupitia media, the coverage was very special na ilinivutia zaidi pale ambapo mliweka mbele watoto yatima. Pia mama Anne as usual alionekana shupavu sana and she spoke it, nilifurahika sana.

Ni jambo la kumshukuru Mungu sana kufikia umri huo wa miaka 75 ukiwa na nguvu. Nimefurahi pia kuwa mama Anne Kilango amekuwa nyuma yake akihakikisha mzee anapata huduma njema, na ndiyo maana hata katika public anaonekana bado ni kijana, hayo ni matokeo ya maelewano na huduma bora.

Nimefurahishwa pia ulipoorodhesha watoto wa mzee pamoja na adopted ili kukata mzizi wa fitina na cha kufurahaisha mno ni pale ambapo umeweza kuwatambua watoto wa mama Anne kuwa ni part of your family, again thanks. Nataka wana JF watambue kuwa mwanaume anapozaa watoto si kuzaa ili upatate identity bali ni kuzaa kwa kumaanisha na kuwatunza, not only for the sake of being a biological father. Kwangu baba ni yule anayenitunza na kunipenda kuliko yule ambaye amenizaa na kunitelekeza au asinipende, au asiniendeleze. Kwa upande wangu nafahamu mama Anne alivyohangaika kutunza watoto wake, sitapenda kusema details hiyo ni private yangu. Ninafahamu mr. Nyange alivyomfanyia ubaya, again is private here. Ila mama alionyesha ujasiri na ameweza kuwasomesha watoto wake na kuwa mjasiriamali mzuri sana, wakati tunafunga ndoa yetu ni mama Anna alitufanyia shopping Marekani almost 95% ya mavazi yetu kwa send off na harusi. I still rememmber her residence at Kinondoni, with Nina fashion, with a tailoring mart, with catering services, you name all. Alikuwa mwaminifu sana katika biashara zake, gauni la harusi yetu ni wengi walilitaka na lilikodishwa sana, mpaka ikawa kama biashara.

Pia ni vema tuelewe kuwa yes, mzee wetu alishakuwa mwanasiasa na ni mwanasiasa, ni proffessional yake na tuiheshimu. Kwani hata akitaka kuwa rais anazuiwa??? Demokrasaia haina ubaguzi cha msingi aweze ku compete na wengine maana hakuna tena cha jina na kivulu then unachagua nyumba au jembe. Siku hizi ni competition though bado ni competition ndani ya ssm maana bado upinzani haujaaamka, ni ndoto hata kwa 2010 kupata hata 1/3 ya kura zote maana si makosa yao, bali hawajajua wanataka kufanya nini ili wajipange.

Mzee Malecela ametualia kwenye jimbo lake la uchaguzi, amebaki kuwa ni mzee wa nasaha. Naamini pia nasaha zake nzuri na coaching safi ndiyo maana my mon Anne is achieving high!!! Asiyekubali na akatae, sitajali sana.

Yaani juzi walimeremeta jamani, ile suti ya baba na mama du. Nilikuwa na my better half wangu tukatamani nasi tufikie umri huo tena tukiwa pomoja. Inapendeza sana.

Nakupongeza pia Billy kwa kuingia hapa na jina lako. I hope wewe ni mtoto wa mzee wetu na si ndugu (samahani mimi namfahamu Dr. Mwele tu maana at one time nilifanya naye a certain asignment -she is strong and intelligent- anajituma sana). Otherwise, all the best katika utendaji na life making, PhD kama unaipenda pia soma, ni identity nzuri, hata mimi naitamani, pengine one day Yes, they will address me Dr. Maane.
 
- Sherehe zimeisha sasa, na all went well hakuna kasoro kabisa, tunamshukuru Mungu na wote waliohudhuria sherehe hizi, pia nitoe heshima kwa wana-JF wote waliohudhuria.

- Mkuu hapo juu, ahsante sana kwa ushauri wako.

William.

Subutuuuuu!!!
Mbona sikualikwa?? Ulisema utatuPM kutuma mwaliko ila nashangaa ubaguzi ukapita. au uliogopa yasije yakatokea ya Alhaji Mwinyi kuzabwa??? teh teh
Mpe hongera zetu mzee.
Mwambie tunamwona yupo yupo sana tu!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom