Tangazo la Wizara ya Nishati ni kichekesho

Ningekuwa ngereja nisingekubli kuwa part of that mapokezi, that was simply crap

Unfortunately you are not Ngeleja and you will never be. Naomba usijaribu hata kidogo kujifananisha na mbumbumbu huyo. Mimi nilikuwa naye shule. Kwa wale tuliosoma naye Mpwapwa haikuingia akilini pindi alipokuwa nominated kuwa naibu waziri. Kama alikuwa ndosa shuleni, unategemea nini anapopewa majukumu ya kitaifa? You are a million times better than him. You dont deserve, in anyway, to equate yourself with ngeleja.
 
For Ngereja that was a wrong move, hata kama alijua kuwa J-RO alimfichia siri kuwa na yeye anajua kuhusu ule waraka alitakiwa kutojiusisha mpaka apate uhakika kuwa mkuu wa kaya aliruhusu hatua ya J-RO kurudishwa job.

Lakini pia JK amefanya wrong move, kama aliona umuhimu wa kumsimamisha tena then Ngereja na Luhanjo walitakiwa kumpa company mwenzao

Mr. President need to be serious with his assistants, wanamsubortage na yeye hajui.

I think you are wrong to think wana-msubortage. JK ni Msanii. Anawatumia watu kutekeleza mambo asiyo na uhakika yata-yield nini. Hebu fikiri Kikao cha Bunge kilichohusisha kufichuliwa kwa njama za Jairo. Kila Mbunge, including Pinda walitamani Jairo aondolewe siku ileile. Ikaonekana ni lazima JK atoe Baraka.

JK kama kawaida akafanya sarakasi. Akamwagiza Utoo kuchunguza (Huku akiwa amempa hadidu za rejea zinazo hitimisha kumsafisha Jairo). Hilo lilijulikana kwa wote kuanzia Ngeleja, Katibu Mkuu Kiongozi na huenda hata pinda. Ndio maana baada ya Utoo kutoa majibu kwa Katibu Mkuu Kiongozi, Katibu Mkuu harakaharaka akamsafisha Jairo. Ni kwasababu move nzima ilikuwa inajulikana kwa wote. Kwahiyo ukisema assistants wake wanamsubortage ninashindwa kukubaliana nawe.

JK ni mtu wa kusikilizia. Anajua hawezi kutoa maamuzi ya maana. Anapojaribu kuamua, anawatumia hao unawaowaita wasaidizi, ili kupima reaction ya wananchi. Akiona wananchi wanakuja juu, anajifanya kuwa yeye sio sehemu ya maamuzi hayo. Hivi ni kwanamna gani Katibu wa Rais atatoa maamuzi ya Rais ili hali Rais mwenyewe hajui.Kama ndivyo Rais amemchukulia hatua gani.

Huu ni usanii pitiko!
 
Haina tofauti na taarifa ya Ikulu kuwa rais hakuwa kigeugeu. Hawa jamaa ni mazezeta kuliko "wadanganyika" wenyewe. Tulichoambiwa hapo awali ni kuwa baada yakumpokea kwa hug la nguvu walielekea Ikulu pamoja ...

Nani ataamini kuwa hakuwa anamsubiri ili waende pamoja kupiga 'toss' ya wine pale ikulu kwa Luhanjo na ...... ?
 
Juzi tangazo la ikulu,jana la wizara ya nishati yani serikali yetu ni hodari wa kujibu tuhuma za magazetini,utendaji hakuna kitu
 
lete tangazo tulione kwanza halafu tujadili huu upuuzi wa serikali ...kuchezea kodi zetu kuanzia wizarani mpaka tbc1 kurusha matangazo ya dj-(dvd -jro)
 
Ngeleja nae ni gamba tu kwani aliwekwa pale na R.A sasa kama alomweka katimliwa yeye atafuatia afadhali ajiudhuru mapema kwan wenda kwenye baraza atakalounda JK anaweza asiwemo kabisa. Watu wanaomfahamu wanasema alikuwaga mwanasheria wake (R.A) baadae akamshawishi agombee ubunge na R.A akamfanyia lobying awe waziri wa Nishati na madini amabako R.A anapiga mabao sana pamoja na vitaru vya madini.
Ngelmbayo pale aliwekwa sasa ajiondokee mapema kama bosi wake asisubiri kutimliwa kwani itakuwa niaibu ya mwaka.
 
JAIRONANGELEJALEO.jpg


Yaani Ngeleja alirudi Dar kumpokea huyu fisadi ofisini huku akiangalia Bunge kwenye Runinga halafu wanataka kutuzuga na statement zao za kise"*@ge
 
<b><i>lete tangazo tulione kwanza halafu tujadili huu upuuzi wa serikali ...kuchezea kodi zetu kuanzia wizarani mpaka tbc1 kurusha matangazo ya dj-(dvd -jro)</i></b>
<br />
<br />
Angalia mwananchi ya jana ndugu!nililiona tangazo nikajiuliza kuwa linamsaidia nini mtanzanzia mwenye matatizo lukuki?
 
Ngeleja nae ni gamba tu kwani aliwekwa pale na R.A sasa kama alomweka katimliwa yeye atafuatia afadhali ajiudhuru mapema kwan wenda kwenye baraza atakalounda JK anaweza asiwemo kabisa. Watu wanaomfahamu wanasema alikuwaga mwanasheria wake (R.A) baadae akamshawishi agombee ubunge na R.A akamfanyia lobying awe waziri wa Nishati na madini amabako R.A anapiga mabao sana pamoja na vitaru vya madini.<br>Ngelmbayo&nbsp; pale aliwekwa sasa ajiondokee mapema kama bosi wake asisubiri kutimliwa kwani itakuwa niaibu ya mwaka.
 
Ngeleja nae ni gamba tu kwani aliwekwa pale na R.A sasa kama alomweka katimliwa yeye atafuatia afadhali ajiudhuru mapema kwan wenda kwenye baraza atakalounda JK anaweza asiwemo kabisa. Watu wanaomfahamu wanasema alikuwaga mwanasheria wake (R.A) baadae akamshawishi agombee ubunge na R.A akamfanyia lobying awe waziri wa Nishati na madini amabako R.A anapiga mabao sana pamoja na vitaru vya madini.&lt;br&gt;Ngelmbayo&amp;nbsp; pale aliwekwa sasa ajiondokee mapema kama bosi wake asisubiri kutimliwa kwani itakuwa niaibu ya mwaka.
 
Hawa ccm walizoea kutuburuza nashanga hawataki kuamini kua watz wa leo si kama wa miaka 10 iliyopita nafikiri dawa yao ni kuwaondoa tu hakuna lingine
 
Usanii mtupu!!<br />
<br />
Jamaa wamekumbatiana zero-distance ili wapigwe picha halafu wanazuga kuwa hakuja Dar kwa ajili ya Kumpokea J-Ro! Ila pia nahisi Vasco-da Gama ana mpango wa kumpa J-Ro ubalozi, Tusubiri tuone!!
<br />
<br />
Au ukuu wa mkoa dar maana magamba washajichokea hawaelewi chochote
 
Ngeleja umetudanganya sana kwa mambo ya umeme nahili lakumpokea jairo unataka kutudanganya tena wewe baba muogope Mungu
 
For Ngereja that was a wrong move, hata kama alijua kuwa J-RO alimfichia siri kuwa na yeye anajua kuhusu ule waraka alitakiwa kutojiusisha mpaka apate uhakika kuwa mkuu wa kaya aliruhusu hatua ya J-RO kurudishwa job.

Lakini pia JK amefanya wrong move, kama aliona umuhimu wa kumsimamisha tena then Ngereja na Luhanjo walitakiwa kumpa company mwenzao

Mr. President need to be serious with his assistants, wanamsubortage na yeye hajui.

Dr. Kiwete anaji-sabotage yeye mwenyewe kwa kushindwa kuongoza kwa misingi ya haki na mujibu wa katiba ya JMT. Tatizo anaongoza nchi kishikaji, hivyo mambo hayo yanatokea yeye anaamini ni ya kishikaji tu.
 
Back
Top Bottom