ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Mi nafkir Vasco daGama alichemka kumstop J-iro peke yke,alipaswa kuagiza wote waloshrk mapokez na kuacha majukumu ya msingi wawajibishwe mara moja,lakini pia hyo ngeleja anapaswa kutupwa nje ya ofc now as toka amekuwa wzr hana la kujivunia alilolifaoya zaid ya usanii mtupu.
<br />ukidanganywa na ccm basi we shosti bwabwa
<br />Ngeleja alitamani sana kulisukuma gari la Jah-hero sema aliogopa macho ya watu!<br />
Shame on you Nge.le.ja
hahahahaaa!
Shosti halafu bwabwa! Yani hata ukibadili piston rings zote, sleeves, ukichonga block, ukibadili timing beld, ukiweka cranck shaft mpya, bado....bado kitu inalia nock nock....yani ccm is a rotten bedford!
Poleni wote mnaoshangaa
Jairo ni zaidi ya mnavyofikiria
Kikwete ndiye aliyemteua
Ufisadi ukamkolea
Bunge likamshtukia
Pinda akamgunia
Luhanjo akamtetea
Utoh akamsafisha
Wizara ikampokea
Ngeleja akamkumbatia
Zitto akamchongea
Ole Sendeka akamkana
Bunge likataharuki
Ikulu ikajihami
na sinema yaendelea......