vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
daaaaamn!!!i missed you BABY gal...u what um saying...lol:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S kiss::A S kiss:
simanje kimare avae
daaaaamn!!!i missed you BABY gal...u what um saying...lol:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S kiss::A S kiss:
Honey sweetheart sweety darling ila wabongo wao wanataka bebiii!!hivi kwanini msiitane HONEY,
au inakuwa siyo tamu.
..hahahahahaha..eti mgomo unajitegemea...waaaaa......huu mgomo unajitegemea.....usichanganye na huu tafadhali......
uwiiiiii nyie watu nawapendajeeeee, mmenichekesha wallah, eti usichanganye migomo, mwingine eti suala hili lipo mahakamani, khaaaaaaa! i luv u guys! lol
khaaa! Preta mbona umesahau pia huyo wa kwenye picha kanyang'anywa haki yake ya kuogea beseni wanamuaogeshea kwenye sufuria.
istoshe wababa wote na midevu yao lol wamenyang'anya haki ya watoto kunyonya lol! siku hziz nao wananyonya jamani kweli hii ni haki?
na jee wewe mwanamke kila siku unanyonywa hivi si utanyonywa hadi damu sasa?
..hahahahahahaa....wacje kugoma kuwa eti tumevamia na nyonyo zao wakati tuliziacha wenyewe@bebii@Preta
Hapa ninasikia harufu ya rushwa na ulindaji wa maslahi binafsi.waaaaa......huu mgomo unajitegemea.....usichanganye na huu tafadhali......
Hapa ninasikia harufu ya rushwa na ulindaji wa maslahi binafsi.
NWY, naunga mkono 1000% matumizi mabaya ya BABY, lakini kuanzia sasa Preta nikuiteje, mimi ukiniita TOTOKUBWA ninaridhika.
Muchas gracias por lo de Ramadán.ha ha....totokubwa hapana....refu mno....nipo studio natafuta jina.....
btw.....saumu makbul.....