Tanganyika will rise again..💗💗💗Sisi ni hapa tu. No more bullshit.
View attachment 3530870
A special K*mmke kwa yeyote ambaye anasapoti the on going rubbish and the terrorists organization claiming they are a legitimate government. Special F*ck you to al yall motherf*ck*rs. Your days are numbered.😡😡😡😡
Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.TANGANYIKA. Sababu: 1. Tanganyika na Zanzibar ndizo ziliungana na kupatikana neno Tanzania. Zanzibar ipo na wazanzibar wanajivunia uzanzibar wao. Kwanini Tanganyika iogopwe na wahuni wakaipa jina bandia Tanzania bara? hili halikubaliki. 2. Sherehe za uhuru: Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
Mkuu;Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
Usinielewe vibaya mkuu hizo nukuu ni kama vile nimezi highlight points muhimu.. Umeandika vitu ambavyo ni uhalisia lakini wengi wanaogopa kuvisemaMkuu;
Huwa nakuona muungwana. Sijui nilikuwa najidanganya!!
Iko hivi: Wazanzibari hawajahusika kuliondoa jina Tanganyika. Ni Nyerere mwenyewe, kwa kuiogopa/kuichukia Zanzibar na baadae akafuatiwa na wenziwe, ndio walioliondoa jina la Tanganyika kwenye katiba ya mwaka 1966 na baadae ikafuatiwa na hii ya mwaka 1977. Kamuulize/kamlalamikie Pius Msekwa atakupa habari ya jambo hili. Hili hulielewi kwani wakati huo hukuwepo. Nasikia pande hizo mumesoma sana. Ni kweli?
Ni vyema kuchukua muda kutafuta taarifa sahihi badala ya kusema tu kwasababu unao uhuru wa kusema na matokeo yake ukasema uongo🙏🏿Mkuu; baada ya kusikiliza hii clip nimegundua mambo mawili makubwa:
1. Watu hawajui wanataka nini.
2. Watu hawawajui (ignorants) hata viongozi. Ni ajabu kudai kuwa Chande ni Mzanzibari kwasababu tu ya jina lake. Sisi Waswahili tunasema jina si mboje. Kama ni jina vipi Jakaya na wengine wenye majina yanayofana na yale yanayotumika Zanzibar?
Ni vyema kuchukua muda kutafuta taarifa sahihi badala ya kusema tu kwasababu unao uhuru wa kusema na matokeo yake ukasema uongo.