Tanganyika vs Tanzania

Tanganyika vs Tanzania

Ungependa taifa letu libadili jina?


  • Total voters
    67
  • Poll closed .
Zikiwa zimebaki siku 2 kuisha hii kura TANGANYIKA amemuacha mbali sana TANZANIA
 
A special K*mmke kwa yeyote ambaye anasapoti the on going rubbish and the terrorists organization claiming they are a legitimate government. Special F*ck you to al yall motherf*ck*rs. Your days are numbered.😡😡😡😡
 
Sisi ni hapa tu. No more bullshit.
 
TANGANYIKA. Sababu: 1. Tanganyika na Zanzibar ndizo ziliungana na kupatikana neno Tanzania. Zanzibar ipo na wazanzibar wanajivunia uzanzibar wao. Kwanini Tanganyika iogopwe na wahuni wakaipa jina bandia Tanzania bara? hili halikubaliki. 2. Sherehe za uhuru: Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
 
TANGANYIKA. Sababu: 1. Tanganyika na Zanzibar ndizo ziliungana na kupatikana neno Tanzania. Zanzibar ipo na wazanzibar wanajivunia uzanzibar wao. Kwanini Tanganyika iogopwe na wahuni wakaipa jina bandia Tanzania bara? hili halikubaliki. 2. Sherehe za uhuru: Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
 
Wazanzibar wanasherehekea sherehe za MAPINDUZI ya ZANZIBAR bila haya. Kwa kuogopa jina Tanganyika, tumeambiwa 9d ni uhuru wa Tanzania bara. Hakuna nchi inayoita Tanzania bara iliyopata uhuru 9D 61.
Mkuu;
Huwa nakuona muungwana. Sijui nilikuwa najidanganya!!
Iko hivi: Wazanzibari hawajahusika kuliondoa jina Tanganyika. Ni Nyerere mwenyewe, kwa kuiogopa/kuichukia Zanzibar na baadae akafuatiwa na wenziwe, ndio walioliondoa jina la Tanganyika kwenye katiba ya mwaka 1966 na baadae ikafuatiwa na hii ya mwaka 1977. Kamuulize/kamlalamikie Pius Msekwa atakupa habari ya jambo hili. Hili hulielewi kwani wakati huo hukuwepo. Nasikia pande hizo mumesoma sana. Ni kweli?
 
Mkuu;
Huwa nakuona muungwana. Sijui nilikuwa najidanganya!!
Iko hivi: Wazanzibari hawajahusika kuliondoa jina Tanganyika. Ni Nyerere mwenyewe, kwa kuiogopa/kuichukia Zanzibar na baadae akafuatiwa na wenziwe, ndio walioliondoa jina la Tanganyika kwenye katiba ya mwaka 1966 na baadae ikafuatiwa na hii ya mwaka 1977. Kamuulize/kamlalamikie Pius Msekwa atakupa habari ya jambo hili. Hili hulielewi kwani wakati huo hukuwepo. Nasikia pande hizo mumesoma sana. Ni kweli?
Usinielewe vibaya mkuu hizo nukuu ni kama vile nimezi highlight points muhimu.. Umeandika vitu ambavyo ni uhalisia lakini wengi wanaogopa kuvisema
Kongole Mkuu💪🏿
 
Back
Top Bottom