Bila bendera ya Tanganyika,Uzi haujakamilika.
Sisi ni Watanganyika. Na nchi yetu ni Tanganyika! Rais wetu ni Mh. Tundu Lissu. Vilaza na CHAWA wote wote wahamie Kizimkazi.Chagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
Basi iitwe jamhuri ya wa bantu au Bantu landHaviendani
bendera yetu Tanganyika kwa mbali inafanana na ya jamaica
TANGANYIKA, DAIMA DUMUChagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
Iitwe MOSHI Au CHARIIYote hayafai. Nchi iitwe Kilimanjaro
Kilemakyaro 🤣🤣Yote hayafai. Nchi iitwe Kilimanjaro
Jamaika ni Africa?Africa is one💗
Ina maana hayo machaguo yote HAYAFAIHaimo kwenye machaguo mawili
Ungeniuliza sababu kwa nini ninataka KilimanjaroOoh🥺 OK okay sawa
Moja, Kilimanjaro ni alama ya jiografia inayotambulika kimataifa, iko Tanzania Bara na ni chanzo cha utambulisho wa kihistoria wa eneo. Pili, kabla ya Muungano, Tanganyika ilijulikana zaidi kupitia Mlima Kilimanjaro kwenye ramani na safari. Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru AfrikaOK sawa naomba niambie kwanini
Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru Afrika💪🏿💗💗💗Moja, Kilimanjaro ni alama ya jiografia inayotambulika kimataifa, iko Tanzania Bara na ni chanzo cha utambulisho wa kihistoria wa eneo. Pili, kabla ya Muungano, Tanganyika ilijulikana zaidi kupitia Mlima Kilimanjaro kwenye ramani na safari. Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru Afrika