Tanganyika vs Tanzania

Tanganyika vs Tanzania

Ungependa taifa letu libadili jina?


  • Total voters
    67
  • Poll closed .
Maskini haters wa Samia, Sasa hivi yamekuwa kama mazombie hata wanachokiongea hawakijui.......huyo ndo Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania. Humpendi tokomea zako nampula.
Hiki kichwa kuna kitu tofauti kinawaz zaidi ya Samia?
 
Hiki kichwa kuna kitu tofauti kinawaz zaidi ya Samia?
Kwani nyie Kuna kitu chochote mnawaza zaidi ya maombi mabaya kwa Samia?!!! Nikijibu swali lako, palipo na Nia mbaya kwa Samia, muungwana Mimi nitakuwa hapo kwa ajili ya kutetea........sitaki niulizwe kesho nikose majibu.
 
"Kwanza niseme siko katika malumbano ila tunajaribu kujenga hoja za kufikirika maana hazijawa halisi." Jamii ambayo inajiona au inaonwa kuwa iko juu kijamii ukaipa jina la nchi unadhani nini kitatokea? Kwa mtazamo wangu mfinyu jamii hiyo itaingiza ushawishi mkubwa katika ajenda nyingi za kitaifa.
Inferiority complex itakuua!!
 
Inferiority complex itakuua!!
Don't take it personal, mie si wa hivyo siko too low kiasi cha kuanza kuanza kujibishana kwenye mambo ambayo hayaniletei mkate mezani.

Kama mtazamo wangu umekukwaza kiasi cha kuona nina inferiority complex nisamehe na tuishie hapa katika hili.
 
Don't take it personal, mie si wa hivyo siko too low kiasi cha kuanza kuanza kujibishana kwenye mambo ambayo hayaniletei mkate mezani.

Kama mtazamo wangu umekukwaza kiasi cha kuona nina inferiority complex nisamehe na tuishie hapa katika hili.Each
Unawagwaya sana Wachagga, sijui walikuwa wanakupita darasani au wamekuzidi mali. Au boss wako Mchagga. Pole sana
 
Unawagwaya sana Wachagga, sijui walikuwa wanakupita darasani au wamekuzidi mali. Au boss wako Mchagga. Pole sana
Nimesema tuishie hapa, hunijui sikujui kwa nini tulumbane kwa mambo yanayoepukika? Duniani hakuna mashindano ya mali kuwa wamenipita Mali na kushindwa darasani sio kushindwa maisha vilevile sina bosi katika maisha yangu silipwi mshahara bali najilipa mwenyewe. Na kuhusu wachaga ni wake zangu wamenizalia watoto wananilelea na kunipikia hivyo siwezi kuwaogopa au kuwadharau bali nilitoa mawazo yangu kama Mtanganyika bila kujali ukabila, ukanda, Elimu, dini au jinsia.

Istoshe hujui Mimi ni kabila gani mpaka uone mtazamo wangu unatokana na inferiority complex.

Nakuomba sana usinichokoze ndugu sijawahi jibishana na mtu vibaya kwenye hili jukwaa, Narudia tena tuishie hapa kwani inatosha ndugu.
 
Tunapaswa sote kuwa hivi! Rasilimali nyingi za Tanganyika zinaporwa na wajanja wachache kwa mgongo wa Tanzania.
Tusiruhusu Uhuru wa Tanganyika kufifishwa kwa kutukuza mapinduzi ya Zanzibar!
Tusiruhusu Uhuru wa Tanganyika kufifishwa kwa kutukuza mapinduzi ya Zanzibar! 📌🔨
 
Tunapaswa sote kuwa hivi! Rasilimali nyingi za Tanganyika zinaporwa na wajanja wachache kwa mgongo wa Tanzania.
Tusiruhusu Uhuru wa Tanganyika kufifishwa kwa kutukuza mapinduzi ya Zanzibar!
Inabidi tuirudishe nchi yetu Tanganyika na Muungano wa kulazimishana uvunjwe.
 
JE, MUUNGANO NA TANGANYIKA VIMEBAKIA KUWA MFUPA WAKATI ZANZIBAR INANAWIRI?

Kila mtu anaweza kutafsiri tofauti kazi yoyote ya sanaa ingawa maana iko kwa mtunzi. Tafsiri yangu kwa hiki kikaragosi (katuni) cha Masoud Kipanya ni hii: Skeleton (huyo samaki mkubwa aliyebakia mkia na kichwa) huonyesha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (iliyowakilishwa kama kichwa) na Tanganyika (iliyowakilishwa kama mkia).

Samaki wadogo walionenepeana ni Zanzibar (samaki mkubwa kidogo) na Visiwa vya Unguja na Pemba (samaki hao wadogo) pamoja na visiwa tegemeo ambavyo huunda Zanzibar. Wanaonekana siha au afya yao inatokana na wao kupata lishe kwa kumla samaki mkubwa.

Tafsiri hii katika literature (fasihi) ndio ambayo tunaita reader response ikiwa na maana kuwa msomaji anaweza pia kutoa maana yake katika kazi ya faisihi hasa ambayo mtunzi wake yuko mbali au hawezi kuwa huru kufafanua maana.

Tafsiri yangu inakwenda na muktadha na siku ambayo kikaragosi hiki kimetolewa, tarehe 12 Januari 2026 ambayo ni siku ya maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Lakini kama wewe huamini katika uhuru wa kazi za fasihi waweza kwenda kumtia pingu Kipanya hata 'kumpilipili' Askofu Mwamakula ambaye ndiye mchambuzi wa kikaragosi cha Kipanya.
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandakile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 12 Januari 2026; Saa 12:03 asubuhi.
1768227936756.jpg
 
Mpaka sasa Tanganyika inaongoza kwa mbali Sana! Mamlaka zinaweza kupita huku na kupata picha kamili
 
Tusiruhusu Uhuru wa Tanganyika kufifishwa kwa kutukuza mapinduzi ya Zanzibar! 📌🔨
Kwenye hili mimi nashauri achaneni na Zanzibar, hamuiwezi. Iliwashinda Wareno, wakaondoka; ikawashinda Waarabu, wakawa raia wa Zanzibar kwa kuzaliwa; ikamshinda Nyerere - Mtanganyika - aliyetamani kuitupilia mbali baharini akaishia kuungana nayo akidhani mambo yameisha, ikamkaa rohoni akajifia zake akaiwacha ikistawi.

Zanzibar ni kubwa mno pamoja na udogo wake wa eneo.

Baada ya utangulizi huo, nashauri tuiite Tanganyika ili Watanganyika wafurahi na Wazanzibari wapumue (wapumzike) na bughudha za Watanganyika. Tugawane mbao za Tanzania kila mmoja abaki kwake.
 
Kwenye hili mimi nashauri achaneni na Zanzibar, hamuiwezi. Iliwashinda Wareno, wakaondoka; ikawashinda Waarabu, wakawa raia wa Zanzibar kwa kuzaliwa; ikamshinda Nyerere - Mtanganyika - aliyetamani kuitupilia mbali baharini akaishia kuungana nayo akidhani mambo yameisha, ikamkaa rohoni akajifia zake akaiwacha ikistawi.

Zanzibar ni kubwa mno pamoja na udogo wake wa eneo.

Baada ya utangulizi huo, nashauri tuiite Tanganyika ili Watanganyika wafurahi na Wazanzibari wapumue (wapumzike) na bughudha za Watanganyika. Tugawane mbao za Tanzania kila mmoja abaki kwake.
Baada ya utangulizi huo, nashauri tuiite Tanganyika ili Watanganyika wafurahi na Wazanzibari wapumue (wapumzike) na bughudha za Watanganyika. Tugawane mbao za Tanzania kila mmoja abaki kwake. 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Kwenye hili mimi nashauri achaneni na Zanzibar, hamuiwezi. Iliwashinda Wareno, wakaondoka; ikawashinda Waarabu, wakawa raia wa Zanzibar kwa kuzaliwa; ikamshinda Nyerere - Mtanganyika - aliyetamani kuitupilia mbali baharini akaishia kuungana nayo akidhani mambo yameisha, ikamkaa rohoni akajifia zake akaiwacha ikistawi.

Zanzibar ni kubwa mno pamoja na udogo wake wa eneo.

Baada ya utangulizi huo, nashauri tuiite Tanganyika ili Watanganyika wafurahi na Wazanzibari wapumue (wapumzike) na bughudha za Watanganyika. Tugawane mbao za Tanzania kila mmoja abaki kwake.
Kwenye hili mimi nashauri achaneni na Zanzibar, hamuiwezi. Iliwashinda Wareno, wakaondoka; ikawashinda Waarabu, wakawa raia wa Zanzibar kwa kuzaliwa; ikamshinda Nyerere - Mtanganyika - aliyetamani kuitupilia mbali baharini akaishia kuungana nayo akidhani mambo yameisha, ikamkaa rohoni akajifia zake akaiwacha ikistawi.🥺🥺🥺
 
Mzee Mshana umekosa hoja kiasi hiki? Inasikitisha sana mtu kama wewe kupost vitu cheap kama hivi. Umepost takataka.
 
Kwenye hili mimi nashauri achaneni na Zanzibar, hamuiwezi. Iliwashinda Wareno, wakaondoka; ikawashinda Waarabu, wakawa raia wa Zanzibar kwa kuzaliwa; ikamshinda Nyerere - Mtanganyika - aliyetamani kuitupilia mbali baharini akaishia kuungana nayo akidhani mambo yameisha, ikamkaa rohoni akajifia zake akaiwacha ikistawi.🥺🥺🥺
Ngumu kumeza?
 
Back
Top Bottom