Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru AfrikaMoja, Kilimanjaro ni alama ya jiografia inayotambulika kimataifa, iko Tanzania Bara na ni chanzo cha utambulisho wa kihistoria wa eneo. Pili, kabla ya Muungano, Tanganyika ilijulikana zaidi kupitia Mlima Kilimanjaro kwenye ramani na safari. Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru Afrika
Nyongeza Kilimanjaro kanda ya kusini kuna mambo mengi ya kipekee dunianiMoja, Kilimanjaro ni alama ya jiografia inayotambulika kimataifa, iko Tanzania Bara na ni chanzo cha utambulisho wa kihistoria wa eneo. Pili, kabla ya Muungano, Tanganyika ilijulikana zaidi kupitia Mlima Kilimanjaro kwenye ramani na safari. Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru Afrika
AzaniaChagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026
"TANGANYIKA" ndio sahihi zaidi Kilimanjaro ni kweli ina sifa ulizisema lakini behind the scene inabeba jamii fulani. Ili kuondoa tashwishwi ni kubaki na our beloved name TANGANYIKAMoja, Kilimanjaro ni alama ya jiografia inayotambulika kimataifa, iko Tanzania Bara na ni chanzo cha utambulisho wa kihistoria wa eneo. Pili, kabla ya Muungano, Tanganyika ilijulikana zaidi kupitia Mlima Kilimanjaro kwenye ramani na safari. Tatu, jina Kilimanjaro linaunganisha historia ya kale, biashara, na urithi wa Kiafrika bila mgawanyiko wa kisiasa, na ni kumbukumbu ya safari za wakoloni na wapigania uhuru Afrika
😅😅Tanganyika jina baya halina hata swaga
Bora ingekuwa TangaStan
Jina “Azania” ni jina la kihistoria lililotumika na Wagiriki na Waroma wa kale kuashiria sehemu za pwani ya Afrika Mashariki, kuanzia Eritrea hadi Tanzania ya leo. Asili yake inahusiana na maandiko ya kale ya mabaharia na wasafiri, na baadaye likawa pia jina la kiitikadi linalotumika kuashiria Afrika Kusini katika harakati za ukombozi.Azania
Hata Tanganyika lina husisha jamii ya watu wa Kigoma. Sioni ubaya Kilimanjaro kutumika kwa sababu linahusisha jamii za kichgga, kimasai, kimeru na kipare ambazo ni watanzania wenzetu pia"TANGANYIKA" ndio sahihi zaidi Kilimanjaro ni kweli ina sifa ulizisema lakini behind the scene inabeba jamii fulani. Ili kuondoa tashwishwi ni kubaki na our beloved name TANGANYIKA
Nimeongeza maarifa hapa asante Sana mkuu Huihui2Jina “Azania” ni jina la kihistoria lililotumika na Wagiriki na Waroma wa kale kuashiria sehemu za pwani ya Afrika Mashariki, kuanzia Eritrea hadi Tanzania ya leo. Asili yake inahusiana na maandiko ya kale ya mabaharia na wasafiri, na baadaye likawa pia jina la kiitikadi linalotumika kuashiria Afrika Kusini katika harakati za ukombozi.
"Kwanza niseme siko katika malumbano ila tunajaribu kujenga hoja za kufikirika maana hazijawa halisi." Jamii ambayo inajiona au inaonwa kuwa iko juu kijamii ukaipa jina la nchi unadhani nini kitatokea? Kwa mtazamo wangu mfinyu jamii hiyo itaingiza ushawishi mkubwa katika ajenda nyingi za kitaifa.Hata Tanganyika lina husisha jamii ya watu wa Kigoma. Sioni ubaya Kilimanjaro kutumika kwa sababu linahusisha jamii za kichgga, kimasai, kimeru na kipare ambazo ni watanzania wenzetu pia
Baada ya kushindwa kete zote, mnakimbilia Tanganyika......Tanzania.....Znzibar. Hamfanikiwi katika kushindana na akili kubwa.Chagua jina litakalofaa pale taifa letu litakapokombolewa
NB: unaweza kutaja sababu
1. Tanganyika
2. Tanzania
Mwisho wa kupiga kura ni tarehe 18.01.2026