Tanganyika na Uhuru wa Zanzibar

Tanganyika na Uhuru wa Zanzibar

Huu Si muungano ni uvamizi wa Tanganyika kwa Zanzibar.

Nyerere aliivamia Zanzibar Na kumkamata Waziri Mkuu wake pamoja Na baraza la mawaziri waliochaguliwa Na wananchi Na kuwafunga katika jela Za Tanganyika kabla Huo uvamizi kupewa jina la muungano hapo April 26 ,1964
Kwahiyo ulitakaje?

#MaendeleoHayanaChama
 
Hata bila referendum msimamo wa Zanzibar unajulikana mchana kweupe- mamlaka kamili.
 
Back
Top Bottom