Mandingo Nyeti
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 179
- 43
Hapana ~ tanganyika huru isirudi!
Mkuu jmushi1, hivi mwanga unapoingia kuna haja la kuuliza hatma ya giza? Hao walotutumbukiza gizani kwa kuanzisha serikali mbili na nchi mbili watajiju! Tanganyika, kama Tsunami, inarudi na watakaoleta za kuleta watasombwa na maji.Ndiyo Tanganyika irudi.Swali ni hao wapemba mtawapeleka wapi wamejazana Tanganyika?
KWA WALE WAZALENDO WA TANGANYIKA HURU TUNAKUSANYA MAONI KUJUA NI WANGAPI WANAHITAJI NA WANGAPI HAWAHITAJI TANGANYIKA HURU.
ANDIKA NENO
a)NDIYO~TANGANYIKA HURU IRUDI.
b)HAPANA~TANGANYIKA HURU ISIRUDI.
Nilijua wewe wa kwetu Nshomile kwa kuwa moja ya sifa kubwa kwetu kusoma na kuelimika. Ila nahisi nilikosea wewe ni kati ya vuvuzela lisilojitambua. Hujui hata asili yako aibu 45 milioni kuendeshwa na 1 milioni good. Wazenji wanaakili saaaaaana mmoja ni sawa na wadanganyika 45.Nimegundua wengi mna lilia jina tuu lakini mkiulizwa Tanganyika mnayo lilia himekwenda wapi hamuwezi kujibu.
Hapa watu wa kulilia uhuru wao ni wa zanzibari sio nyinyi mnao lilia jina la Tanganyika bila sababu.
bendera ya zanzibar lazima itakuwa na jambia na mwezi kama ishara ya kuabudu majini