Tanganyika imerudi

Tanganyika imerudi

Nimegundua wengi mna lilia jina tuu lakini mkiulizwa Tanganyika mnayo lilia himekwenda wapi hamuwezi kujibu.

Hapa watu wa kulilia uhuru wao ni wa zanzibari sio nyinyi mnao lilia jina la Tanganyika bila sababu.

Siyo kweli unachosema inawezekana ikawa wewe ndiyo hujui watu wanachokitaka ukadhani wanataka jina tu la tanganyika ni zaidi ya hilo jina. Watu wamesoma wanadai kitu wanachokijua
 
Kabla ya Tanganyika haijarudi unihakikishie kama nitaweza kuendelea kuishi na kumiliki ardhi Mbeya wakati mimi ni Mpemba. Kama HAPANA basi Tanganyika na ifie mbali!!
 
Kabla ya Tanganyika haijarudi unihakikishie kama nitaweza kuendelea kuishi na kumiliki ardhi Mbeya wakati mimi ni Mpemba. Kama HAPANA basi Tanganyika na ifie mbali!!

Tanganyika inarudi,muungano unaboreka na umiliki wako ardhi kama kawa.
 
A: NDIYO TANGANYIKA IRUDI (tulipoteza neema na baraka za mwenyezi MUNGU sababu za kuitupa NCHI yetu tuliyopewa)
 
Poa tu ila ubongo wako ukibikiriwa ndipo utaweza kujua kua vijana wa CDM wana akili za sungura na si kobe. Plz acha chuki.

Vijana wa Chadema mna akili za Kobe.
 
Last edited by a moderator:
Israel ilirudi baada ya miaka 2000 tena wakiwa wameshatawanyika kwenye nchi nyingine sembuse Tanganyika ambayo wananchi wake wapo bado na wengine waliipigania.
Tanganyika ndiyo nchi iliyopiganiwa na mababu zetu wakina Mkwawa ,Mirambo ,Dr.Mvungi n.k.
Walipoteza maisha yao kwa ajili ya Tanganyika.
Jina TANGA- NYIKA ni jina lililotamkwa na babu zetu wenyewe waafrika wenzetu.
Tanzania imekuwa ni nchi ya Walaghai watu wanaopindisha ikweli na kupoteza historia ya kweli ya Tanganyika.Hata mistari ya bendera ya Tanganyika ilipindishwa na kupata bendera ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom