Tanganyika imerudi

Tanganyika imerudi

Ndiyoooooooo TAGANYIKA YETU ILUDI ikiwezekana hata kwa numi liwalo na liwe:msela:
:msela:
 
Nimegundua wengi mna lilia jina tuu lakini mkiulizwa Tanganyika mnayo lilia himekwenda wapi hamuwezi kujibu.

Hapa watu wa kulilia uhuru wao ni wa zanzibari sio nyinyi mnao lilia jina la Tanganyika bila sababu.
 
Back
Top Bottom