Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,155
- 822
rudi Baba yetu Tanganyika tumekumisi sana,ingawa walikuzika lakn Mungu amekufufua.ameeeni!!
kwani ilienda wapi?
Aisee bendera ya Tanganyika ilikuwa nzuri sana, ina maana bendera ya Tanganyika ndio ya Muungano waligeuza tu ulalo wa alama.
rudi Baba yetu Tanganyika tumekumisi sana,ingawa walikuzika lakn Mungu amekufufua.ameeeni!!
Aisee bendera ya Tanganyika ilikuwa nzuri sana, ina maana bendera ya Tanganyika ndio ya Muungano waligeuza tu ulalo wa alama.
We jidanganye tu, watanganyika wameamka.Wapemba waliruhisiwa kuinvest kama watanzania, muungano ukivunjika, wao si watanganyika by default.Tanganyika inaanzia ubungo mataA KWENDA BARA HAINA BANDARI HATA MANZESE IMO NDANI YA ZANZIBAR