Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,104
- 54,328
Na lizee limetulia tuli
Mbona kama maji yamewekewa dip ya kuoshea ng'ombe ? Au ndo viungo hivyo
Huyu wa Iringa au Mbeya. Wababa wanaugopa baridi hawaogi. Ujue kuna ugeni wa mama mkwe inabidi mama agangamale kumwogesha. Tanga angekuwa amekaa kwenye kigoda.
hapa ndiio nimefika tena! uniagie huko dar
Unapelekwa kuoga ukiwa umebebwa mgongon,,,unaogeshwa then unapakwa mafuta kwa makalio.....haaaahaaa penda san
Huyu wa Iringa au Mbeya. Wababa wanaugopa baridi hawaogi. Ujue kuna ugeni wa mama mkwe inabidi mama agangamale kumwogesha. Tanga angekuwa amekaa kwenye kigoda.
Nilikuwa nasomea uuguzi pale Teule Hosp. miaka ya nyuma. Tukamtembelea ndugu wa rafiki yangu niliyekuwa nasoma naye, amepanga nyumba pale mjini. tulitoka nje kukwepa joto, ghafla tukamwona ndume amebebwa mgongoni na dada mmoja anaingizwa bafuni. Halafu sasa, huyo ndume alikuwa dereva wetu pale hospitali. sidhani kama nimevunja ile rekodi ya kucheka ya siku ile....Inaonekana unauzoef na huo mji wa pwani
Nilikuwa nasomea uuguzi pale Teule Hosp. miaka ya nyuma. Tukamtembelea ndugu wa rafiki yangu niliyekuwa nasoma naye, amepanga nyumba pale mjini. tulitoka nje kukwepa joto, ghafla tukamwona ndume amebebwa mgongoni na dada mmoja anaingizwa bafuni. Halafu sasa, huyo ndume alikuwa dereva wetu pale hospitali. sidhani kama nimevunja ile rekodi ya kucheka ya siku ile....
Hahaha, unavyoelezea navuta picha aisee, imebidi nicheki pia
Aaaah mbona sijaona kisosi (kisaani cha chai) kikiwa kimewekwa nyanyachungu?
Kwa jinsi alivyotulia,huyu Si wa kuondoka mwakani,miaka mingi Sana ijayo...
yupi huyo?