Aaaah mbona sijaona kisosi (kisaani cha chai) kikiwa kimewekwa nyanyachungu?
Rangi ya haya maji... meupeee! bila shaka yameungwa haya... Halafu huyo anaeogeshwa anafanana na mwenyekiti wa chama fulani cha upinzani... sijui ndie!
Umeanza
Waja leo waondoka mwakani
Inaelekea hayo maji yanavyoonekana rangi yake, yatakuwa 'yameungwa' na tui la nazi!Waja leo waondoka mwakani
Umeanza
hapana mshana jr huoni nywele zilipoanzia... denge la nguvu... style ya domo hilo...
Kwanza anaogeshwa na nguo kwa maana hiyo hawezi ondoka kwa sababu nguo imelowa mpaka ikauke na hizi mvua labda siku tatu
pili hayo maji si bure na hiyo Rangi
si ajabu aliletwa Bafuni akiwa mgongoni kama mtoto
ni balaa kabisa,
ndio ukute ni mtu wa kwetu kule kaacha Mke na watoto ili aleta ng'ombe pwani, nadhani mpaka kufikia hatua hiyo kule kwao wameshaanua Matanga kwamba jamaa kafa alipoenda pwani kupeleka ngombe