Tanga mapenzi yalikozaliwa

Tanga mapenzi yalikozaliwa

Kwanza anaogeshwa na nguo kwa maana hiyo hawezi ondoka kwa sababu nguo imelowa mpaka ikauke na hizi mvua labda siku tatu
pili hayo maji si bure na hiyo Rangi
si ajabu aliletwa Bafuni akiwa mgongoni kama mtoto

ni balaa kabisa,
ndio ukute ni mtu wa kwetu kule kaacha Mke na watoto ili aleta ng'ombe pwani, nadhani mpaka kufikia hatua hiyo kule kwao wameshaanua Matanga kwamba jamaa kafa alipoenda pwani kupeleka ngombe

kwi kwi kwi kwi kwi kwi umenchekesha sana nna kisa kimoja kilimtokea jamaa yangu tanga ni noma
 
kuna mzee alikua anatoka bara huko anapeleka mchele tanga alikua na mtaji kama wa milioni kumi hivi da alivyofika kule akaibua shangingi bwana akamfilisi pesa zote saizi mzee ni choka mbaya
 
Kwanza anaogeshwa na nguo kwa maana hiyo hawezi ondoka kwa sababu nguo imelowa mpaka ikauke na hizi mvua labda siku tatu
pili hayo maji si bure na hiyo Rangi
si ajabu aliletwa Bafuni akiwa mgongoni kama mtoto

ni balaa kabisa,
ndio ukute ni mtu wa kwetu kule kaacha Mke na watoto ili aleta ng'ombe pwani, nadhani mpaka kufikia hatua hiyo kule kwao wameshaanua Matanga kwamba jamaa kafa alipoenda pwani kupeleka ngombe

Hahahaaa, jamani!
 
Hahahaaa, jamani!

sasa dada nifah, jibaba kama hilo kuenea kwenye beseni kama hilo unadhani ni mchezo? alafu inaonekana sio siku yake ya kwanza kuingia humo, maana kajipanga vizuri kwa raha zake
 
Last edited by a moderator:
Inaelekea hayo maji yanavyoonekana rangi yake, yatakuwa 'yameungwa' na tui la nazi!

Jamaa atakapokuwa ametolewa hapo kwenye beseni, huku akiwa amebebwa mgongoni na hilo limama, atakuwa 'keshashiba' hilo penzi la kitanga!

cc; Mamaafacebook

hiyo ndio tanga!
 
Kwanza anaogeshwa na nguo kwa maana hiyo hawezi ondoka kwa sababu nguo imelowa mpaka ikauke na hizi mvua labda siku tatu
pili hayo maji si bure na hiyo Rangi
si ajabu aliletwa Bafuni akiwa mgongoni kama mtoto

ni balaa kabisa,
ndio ukute ni mtu wa kwetu kule kaacha Mke na watoto ili aleta ng'ombe pwani, nadhani mpaka kufikia hatua hiyo kule kwao wameshaanua Matanga kwamba jamaa kafa alipoenda pwani kupeleka ngombe

hahahahahaa.....
 
Back
Top Bottom