Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,968
Nilisikia hiyo taarifa ya kuandamana but I just hope within few years to come SEKOMU itarudi katika njia yake.Kwa kweli tuliandamana na Mimi ni mmoja wapo
Nilisikia hiyo taarifa ya kuandamana but I just hope within few years to come SEKOMU itarudi katika njia yake.Kwa kweli tuliandamana na Mimi ni mmoja wapo
Hapana labda Tanga ya leo... Sio ya Zama zetu mpaka hivi karibuni... Rekodi ya hizi shule inaheshimika mpaka nje ya Tanzania
Magamba boys (shule yangu)
KIFUNGILO girls
Mazinde juu
Soni seminary
Tanga school
Popatilal
Korogwe girls
Etc
hahahaaa daah,alikuwaje enzi za usichana wake?Rafiki wa utotoni yule. Tumecheza sana mchezo wa baba na mama
kama hilo hulioni basi!kama wana Tanga katu sio jukumu letu kujua huyu katoka wapi , tunachofahamu wazazi wake wanaipenda na kuiamini Tanga kuliko sehemu yeyote ndio maana akawaleta shule Tanga , na heshima inabaki TANGA
Hii inaleta mwanga. Sharti la VC na ma DVC kuwa professors ni muhimu. Wasije kuweka wake zao.Sio kwamba serikali ilitaka kuwapangia mtu, ila Kuna sheria mpya ya TCU inataka vice councilor lazima awe professor, pamoja na DVC ARC na DVC PFA.Aneth Munga ni doctor sio professor, kuchelewa kwa Mama Munga kuachia ngazi ndio ilisababisha chuo kuzuiwa kudahili 2017/2018.
Alipoachia ngazi ndio professor Kihiyo akawa V.C, huku professor Bagandashwa na Kihiyo wakiwa ma DVC.
Kilichofanya SEKOMU ifungiwe ni kwamba chuo kilishindwa kujiendesha.Trust me SEKOMU ni chuo ambacho serikali ilikuwa haitaki kukifunga kabisa, kwa mambo yaliyokuwa yakiendelea pale ingekuwa chuo kingine kingeshafungwa zamani Sana.Ilikuwa ni ngumu SEKOMU kuifungia kwa sababu, kuifungia hicho chuo ni kuua elimu maalumu ambapo kwenye elimu maalumu kwa starndard za SEKOMU kilikuwa kinaongoza Afrika mashariki na Kati.
Kuna mambo mengi yalikuwapo pale mpaka malecture waligoma na wanafunzi kuandamana.Ngoja niishie hapa.
Halina maana ata kidogo kufeli twafeli wote, na kufaulu twafaulu wote , hii ni kwa Tanga na mikoa yotekama hilo hulioni basi!
😁😁😁😁😁😁 Loh!!Mtukutu tangu udogoni.. Alipoteza usichana wake below ten
Ww unatafuta makofi hata ya kuazima...!!!Tanga na elimu wapi na wapi mgosi!
Naanglia pia matokeo ya kidato cha sita, shule ya Eckernforde iko kwenye kumi za mwisho
MmmmmhhFuatilia hao unaosema wamefanya vizuri kama ni watoto wa Tanga.Mambo yenu yanajulikana bana.
Ni kweli, sio kongwe, ila inajitahidi kufanya vizuriYeah ila si ya zamani kama hizo nyingine
Shoo amekalia siasa tu, Iringa Mdegela hakuwa mjngaNadhani ni same case inayoisumbua SMMUCo ile ya Moshi, Lutherani wa hizi sehemu mbili wajifunze kutoka kwa watu wa Iringa University wawaulize wao waliwezaje kujenga taasisi iliyosimama imara.
Mpaka wajipange vizuri zaidiNilisikia hiyo taarifa ya kuandamana but I just hope within few years to come SEKOMU itarudi katika njia yake.
Kihiyo halaf potential!!??Tanga, kunani palee...mbona kila kitu kimekufa!?
Nilikua napitia guide book ya TCU. Nimeona vyuo vya Tanga vimepigwa panga tena. Ni kwamba wameshindwa kujipanga na kufanyia marekebisho maagizo ya TCU.
Hapa naongelea SEKOM na Euckenforde. Kwa mafano yuo kama Teofil Kisanji, Marian University, Kampala,Arch Bishop na Mihayo vimerejeshewa udahili. Ni kwamba wametekeleza maagizo ya TCU.
Tanga tunakwama wapi
SEKOM kwa mfano ni muda mrefu badala ya kukaa kujenga mustakabali wa chuo,wametumia nguvu nyingi kulaumu watu. Tulikua na mtu anaitwa Prof Kihiyo...he was very potential, na kimsingi ni mtu wa "system" lakini walimfanyia figisu zisizo na tija. Ila tunaamini wangemtumia vzr angewavusha hapa.
Utaona kwamba hii ni taasisi ya kidini lakini mambo yake yanaleta maswali. Euckenforde sijui wamekwama wapi...Tanga kunani?
SEKOMU ilibeba sana uchumi wa Lsht, watu wali invest kwenye biashara kubwa na ndogo, sasa hali itakua mbaya zaidi.
It pains kuona kwetu kunakufa,watu kama sisi tuna uwezo wa kupata fursa hapa na pale,lakini wengi wa ndugu zetu maisha yao yako pale,wapo waliokopa bank na wapo waliokua wanategemea day work "deiwaka" kuendesha familia zao....IT PAINS
Prof Kihiyo alitupa paper ngumu kama jiwe,daah sitakaa nisahauKihiyo halaf potential!!??