Nadhani ni same case inayoisumbua SMMUCo ile ya Moshi, Lutherani wa hizi sehemu mbili wajifunze kutoka kwa watu wa Iringa University wawaulize wao waliwezaje kujenga taasisi iliyosimama imara.Sekom kuna shida iliyotokana na mambo ya kisiasa,...KKKT wanataka mkuu wa chuo awe Mlutheri wakati mamlaka ziliwaletea mkatoliki anayepokea maagizo toka juu
Ukisoma maandishi ya askofu Munga unaweza kuona shida iko wapi na yule Bagonza pia... Hawa hawaogopi kukosoa (kwa weledi)
Kibafanyikia Tanga alafu hakibaki Tanga...Kilichofanyika Tanga kimefanyika Tanga , hayo ya sijui katoka wapi sio tatizo, muhimu mazingira ya kielimu yapo Tanga ndio maana wazazi wanapeleka watoto wao
Endeleeni kujivunia mapenzi.Kwa anae isema Tanga haijui tanga na walio iua tanga Ni viongoz wa serikali wilaya Kwanza kuwa na umeme pangani tangani,tanga Ni industry area wakaviua vyote tanga haikutakiwa kuwa hv ilivyo.miundombinu ya tanga iko rafiki sana na elimu pia iko vizuri na kuhusu vinasaba kila sehemu vipo hvyo na kuhusu uchawi kila mahali upo.
Tanga Kuna kila kitu maisha murua kabisa.
Tanga Ni wakarimu sana tatizo lililokuwepo watu wamelishwa matango pori eti limbwata hakuna kitu kama hicho.watu wametoka balaa wakakarimiwa vizur wakaona tofaut ya bara na pwani.
Mtu katoka shamba kawekewa chakula katika mkeka analishwa huku nyimbo za mwambao sauti murua kabisa alafu unasema limbwata.
Mnyonge mnyonge lakin haki ya jiji la tanga ipeni.
Sio kwamba serikali ilitaka kuwapangia mtu, ila Kuna sheria mpya ya TCU inataka vice councilor lazima awe professor, pamoja na DVC ARC na DVC PFA.Aneth Munga ni doctor sio professor, kuchelewa kwa Mama Munga kuachia ngazi ndio ilisababisha chuo kuzuiwa kudahili 2017/2018.Uko sahihi lakini hicho ndio kilichotokea SECOM
Unaweza ukawa sahhi, lakini kuna Shehoza? Shemkande?Shekigenda? nadhani umenielewa!Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako
1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Natambua matatizo yalianzia kwa mama Munga ambaye ni jipu lililovia... Kuna siasa pia ndani yake lakini ithibati kwenye hili ni nusu... Ulichokuwa unaeleza kinaweza kuwa ndio uhalisia.... Sijui kwanini umeamua kuishia njianiSio kwamba serikali ilitaka kuwapangia mtu, ila Kuna sheria mpya ya TCU inataka vice councilor lazima awe professor, pamoja na DVC ARC na DVC PFA.Aneth Munga ni doctor sio professor, kuchelewa kwa Mama Munga kuachia ngazi ndio ilisababisha chuo kuzuiwa kudahili 2017/2018.
Alipoachia ngazi ndio professor Kihiyo akawa V.C, huku professor Bagandashwa na Kihiyo wakiwa ma DVC.
Kilichofanya SEKOMU ifungiwe ni kwamba chuo kilishindwa kujiendesha.Trust me SEKOMU ni chuo ambacho serikali ilikuwa haitaki kukifunga kabisa, kwa mambo yaliyokuwa yakiendelea pale ingekuwa chuo kingine kingeshafungwa zamani Sana.Ilikuwa ni ngumu SEKOMU kuifungia kwa sababu, kuifungia hicho chuo ni kuua elimu maalumu ambapo kwenye elimu maalumu kwa starndard za SEKOMU kilikuwa kinaongoza Afrika mashariki na Kati.
Kuna mambo mengi yalikuwapo pale mpaka malecture waligoma na wanafunzi kuandamana.Ngoja niishie hapa.
Uko sahihi mkuu,na sisi ndio tulilivurumisha hatimae mabomu na mwisho tumehamoshwaNikiwa mmoja wa watu niliowahi kufanya "kazi maalum" SeKoMu,kuna mambo mengi sana mazito kwenye kile chuo.....but jua tu tatizo kubwa linaanzia kwa Mama Munga....
Mambo lazma yaende ovyoVC ni mke wa mkuu wa dayosisi. Unategemea nini.
Yeap am sekomu ex-productKuna watu wanaidharau Tanga aidha ni kutokujua au ni chuki binafsi ama ni watoto wa juzi
. Tanga ndio maeneo ya kwanza kabisa Tanganyika kuelimika na elimu hii ya mkoloni
. Tanga ndio mkoa pekee Tanzania ambao una mpangilio maalum wa barabara ambao mpaka leo hakuna mkoa wenye barabara kama hizo ambazo hazitambuliki kwa majina ya watu maarufu bali kwa namba.. Barabara ya 1- 21
. Tanga ndio mkoa naweza kusema wenye shule nyingi za sekondari zilizokuwa zinafanya vizuri sana kitaifa
Tanga ndio mkoa pekee Tanzania unatoa matunda na mboga mbali mbali kwa mwaka mzima misimu yote
. Tanga ndiko mapenzi yalikozaliwa
. Tanga ndio mkoa wa kwanza kuwa na viwanda vingi enzi hizo
Mada ilihusu kudorora kwa elimu Tanga lakini bado ikiwa imefanya vizuri.... Naona mjadala ukageuka kuwasema watu wa Tanga...
Ni Kama wakati ule shule za wakristo zilipokuwa zikiongoza kwa ufaulu watu wakapindua mjadala bila kuangalia kuwa zinazofaukisha ni shule za Kikristo lakini si wanafunzi wote walikuwa wakristo
Kwa kweli tuliandamana na Mimi ni mmoja wapoSio kwamba serikali ilitaka kuwapangia mtu, ila Kuna sheria mpya ya TCU inataka vice councilor lazima awe professor, pamoja na DVC ARC na DVC PFA.Aneth Munga ni doctor sio professor, kuchelewa kwa Mama Munga kuachia ngazi ndio ilisababisha chuo kuzuiwa kudahili 2017/2018.
Alipoachia ngazi ndio professor Kihiyo akawa V.C, huku professor Bagandashwa na Kihiyo wakiwa ma DVC.
Kilichofanya SEKOMU ifungiwe ni kwamba chuo kilishindwa kujiendesha.Trust me SEKOMU ni chuo ambacho serikali ilikuwa haitaki kukifunga kabisa, kwa mambo yaliyokuwa yakiendelea pale ingekuwa chuo kingine kingeshafungwa zamani Sana.Ilikuwa ni ngumu SEKOMU kuifungia kwa sababu, kuifungia hicho chuo ni kuua elimu maalumu ambapo kwenye elimu maalumu kwa starndard za SEKOMU kilikuwa kinaongoza Afrika mashariki na Kati.
Kuna mambo mengi yalikuwapo pale mpaka malecture waligoma na wanafunzi kuandamana.Ngoja niishie hapa.
Kama unafikiri kila sehemu wanafaulu wachukue kawasomeshe huko mkoani kwako , lakini kinachofanyika Tanga iwe kizuri au kibaya mzigo huo wanabeba wana Tanga , acheni wivu mazuri ya Tanga myapokee kama mnavyo yapokee mabaya ya Tanga ,Hao wote hakuna mzaliwa wa Tanga.Wamesomea tu huko.
Tanga inakwamishwa na mengi. Askofu wangu Munga anaiangusha SECOM.Tanga, kunani palee...mbona kila kitu kimekufa!?
Nilikua napitia guide book ya TCU. Nimeona vyuo vya Tanga vimepigwa panga tena. Ni kwamba wameshindwa kujipanga na kufanyia marekebisho maagizo ya TCU.
Hapa naongelea SEKOM na Euckenforde. Kwa mafano yuo kama Teofil Kisanji, Marian University, Kampala,Arch Bishop na Mihayo vimerejeshewa udahili. Ni kwamba wametekeleza maagizo ya TCU.
Tanga tunakwama wapi
SEKOM kwa mfano ni muda mrefu badala ya kukaa kujenga mustakabali wa chuo,wametumia nguvu nyingi kulaumu watu. Tulikua na mtu anaitwa Prof Kihiyo...he was very potential, na kimsingi ni mtu wa "system" lakini walimfanyia figisu zisizo na tija. Ila tunaamini wangemtumia vzr angewavusha hapa.
Utaona kwamba hii ni taasisi ya kidini lakini mambo yake yanaleta maswali. Euckenforde sijui wamekwama wapi...Tanga kunani?
SEKOMU ilibeba sana uchumi wa Lsht, watu wali invest kwenye biashara kubwa na ndogo, sasa hali itakua mbaya zaidi.
It pains kuona kwetu kunakufa,watu kama sisi tuna uwezo wa kupata fursa hapa na pale,lakini wengi wa ndugu zetu maisha yao yako pale,wapo waliokopa bank na wapo waliokua wanategemea day work "deiwaka" kuendesha familia zao....IT PAINS
kama wana Tanga katu sio jukumu letu kujua huyu katoka wapi , tunachofahamu wazazi wake wanaipenda na kuiamini Tanga kuliko sehemu yeyote ndio maana akawaleta shule Tanga , na heshima inabaki TANGAUnaweza ukawa sahhi, lakini kuna Shehoza? Shemkande?Shekigenda? nadhani umenielewa!
Ndo kila kitu ayo mkuu maana hata wewe ukiyakosa kwa dhati huwezi kula vizuri wala kuwa sawa kisaikolojia.Endeleeni kujivunia mapenzi.