Tanga... Kunani pale.?

Tanga... Kunani pale.?

Nilisikia mzee Muller amefariki hizi taarifa zilikua za kweli?
Yaah ni kweli nilienda Lushoto kwenye msiba wa Ngwilizi,nikabak nikapata taarifa kwamba jamaa anaumwa sana,siku chache usoni nikaskia kafariki akiwa Dar,jamaa tumepiga nae sana vyombo pale hotelin kwake,task za field Lushoto ngumu sana baridi kali bila kupiga vyuma hutoboi.
 
Kuna watu wanaidharau Tanga aidha ni kutokujua au ni chuki binafsi ama ni watoto wa juzi
. Tanga ndio maeneo ya kwanza kabisa Tanganyika kuelimika na elimu hii ya mkoloni
. Tanga ndio mkoa pekee Tanzania ambao una mpangilio maalum wa barabara ambao mpaka leo hakuna mkoa wenye barabara kama hizo ambazo hazitambuliki kwa majina ya watu maarufu bali kwa namba.. Barabara ya 1- 21
. Tanga ndio mkoa naweza kusema wenye shule nyingi za sekondari zilizokuwa zinafanya vizuri sana kitaifa
Tanga ndio mkoa pekee Tanzania unatoa matunda na mboga mbali mbali kwa mwaka mzima misimu yote
. Tanga ndiko mapenzi yalikozaliwa
. Tanga ndio mkoa wa kwanza kuwa na viwanda vingi enzi hizo

Mada ilihusu kudorora kwa elimu Tanga lakini bado ikiwa imefanya vizuri.... Naona mjadala ukageuka kuwasema watu wa Tanga...
Ni Kama wakati ule shule za wakristo zilipokuwa zikiongoza kwa ufaulu watu wakapindua mjadala bila kuangalia kuwa zinazofaukisha ni shule za Kikristo lakini si wanafunzi wote walikuwa wakristo
Kituo cha kwanza cha polisi Tanganyika na Tanzania kilijengwa Lushoto pale.
 
Mamlaka haina mamlaka ya kuwateulia Mkuu was Chuo. Labda sijakuelewa.
Aliyemaliza muda wake alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria.. Chuo kikamtaka aendelee lakini kuna figisu ikafanyika... Chuo nao wakakomaa sasa ni mwendo wa kutunishiana misuli
 
Yaah ni kweli nilienda Lushoto kwenye msiba wa Ngwilizi,nikabak nikapata taarifa kwamba jamaa anaumwa sana,siku chache usoni nikaskia kafariki akiwa Dar,jamaa tumepiga nae sana vyombo pale hotelin kwake,task za field Lushoto ngumu sana baridi kali bila kupiga vyuma hutoboi.
Itabidi tufahamiane kivingine..... Ngwilizi alishawahi kwenda Comoro kukaimu urais
 
Aliyemaliza muda wake alitakiwa kustaaafu kwa mujibu wa sheria.. Chuo kikamtaka aendelee lakini kuna figisu ikafanyika... Chuo nao wakakomaa sasa ni mwendo wa kutunishiana misuli
Ni private University. Iweje serikali itake kuwaamulia? Kazi ya TCU ni kuangalia kama anayewekwa ana sifa basi.
 
Ni private University. Iweje serikali itake kuwaamulia? Kazi ya TCU ni kuangalia kama anayewekwa ana sifa basi.
Kila kitu cha private unachokiona Nchini ujue kina operate under govt rules,huwez kujiendeshea mambo ukawa unakiuka taratibu halafu uachwe kisa tu ni private.😬
 
Kila kitu cha private unachokiona Nchini ujue kina operate under govt rules,huwez kujiendeshea mambo ukawa unakiuka taratibu halafu uachwe kisa tu ni private.😬
Ni sawa kufuata rules za serikali. Ndiyo maana kuna TCU. Lakini hakuna sheria ya kuwachagulia Vice Chancellor. Haipo!
Ni ubabe was awamu hii tu.
 
Ni sawa kufuata rules za serikali. Ndiyo maana kuna TCU. Lakini hakuna sheria ya kuwachagulia Vice Chancellor. Haipo!
Ni ubabe was awamu hii tu.
Mama Samia yupo huko leo na kesho,mpeni malalamiko yenu,halaf inaelekea hujui chochote kuhusu chanzo cha hiko chuo kupigwa Ban
 
Back
Top Bottom