Wadigo ni tatizo ila wasambaa, wabondei na wazigua wanapiga kazi sana nawakubaliHapa watoe wasambaa.. Hawa ni tofauti kabisa na wabondei, wazigua na wadigo
Hata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.Ukweli unauma, ni kwamba idadi kubwa ya watu wa Tanga ni roho korosho. Nimesoma nao, nimeishi nao, na nina fanya nao kazi.
Popatiral= PopatlalHapana labda Tanga ya leo... Sio ya Zama zetu mpaka hivi karibuni... Rekodi ya hizi shule inaheshimika mpaka nje ya Tanzania
Magamba boys (shule yangu)
KIFUNGILO girls
Mazinde juu
Soni seminary
Tanga school
Popatiral
Korogwe girls
Etc
Wadigo ni tatizo ila wasambaa, wabondei na wazigua wanapiga kazi sana nawakubali
Fuatilia hao unaosema wamefanya vizuri kama ni watoto wa Tanga.Mambo yenu yanajulikana bana.Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako
1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Wadigo ni balaaa hao hawana mpinzani , wabondei afadhali nimeishi nao wanapiga kazi , halafu shule wamepiga kidogowasambaa na wazigua sawa ni wapambanaji, wadigo na wabondei walewale tu baba moja mama moja..
Kilichofanyika Tanga kimefanyika Tanga , hayo ya sijui katoka wapi sio tatizo, muhimu mazingira ya kielimu yapo Tanga ndio maana wazazi wanapeleka watoto waoFuatilia hao unaosema wamefanya vizuri kama ni watoto wa Tanga.Mambo yenu yanajulikana bana.
Ila hao sio wenyeji wa tangaYaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako
1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Shule iko Tanga kijana , hatuna haja ya kujua ni mwenyeji wa wapi, hii ni tanga na heshima inarudi Tanga , ikiwa ya mwisho ni Tanga , ikifanya vizuri sio wenyeji wa Tanga aahhahahahahahahahahaIla hao sio wenyeji wa tanga
Waanzishe cha Kiswahili, uwe mwanafunzi.Labda chuo cha mapenzi kitafahuru
Hivi vitu vipo kila siku ata wachaga na wahaya kila siku wanasemwa humu kuwa ni wabinafsi , kwahiyo shutuma kwa binadamu ni kawaidaHata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.
Wana tabia za kuchimbana,kufuatiliana kwenye vitu vidogo vidogo na majungu.
Waulizeni Viongozi wenu, Tanga ilikuwa best kuliko hata Dar, nini shida?Vyuo vijengewe kulingana na mazingira ya mahali husika.
Ningekuwa mimi, Tanga ningejenga vyuo vya aina hii huko ugosini.
1.Bachelor/ master degree ya mahaba na mapenzi.
2..Bachelor/master degree ya uchawi na mambo ya ushirikina.
3.Bachelor/master degree ya umbea na maswala ya kujipodoa.
Afadhali ya wahaya na wachaga wanawaza vitu vikubwa na ubinafsi wao unawasaidia kutoboa maisha.Hivi vitu vipo kila siku ata wachaga na wahaya kila siku wanasemwa humu kuwa ni wabinafsi , kwahiyo shutuma kwa binadamu ni kawaida
Hizi ni tuhuma tu labda nikuulize swali lini uliwai sikia Tanga kuna njaa watu wanaomba msaada ? katika mikoa masikini mitano ya mwisho Tanga haipo kabisa sasa wewe unazungumzia Tanga ipi ?Afadhali ya wahaya na wachaga wanawaza vitu vikubwa na ubinafsi wao unawasaidia kutoboa maisha.
Lakini hawa ndugu zangu Mimi wa pwani wanapoteza muda kumfuatilia mtu halaf bado wanaendelea kuwa maskini,ni kwa nini wasiutumie huo muda kuutokomeza umaskini?
Hicho chuo nakiunga mkonoTUPO KWENYE MPANGO KUANZISHA CHUO CHA MAHABA, MAPENZI NA MAHUSIANO....MAANA KUNA WATU WENGI WANATESEKA SANA HUKO
Naongelea tanga ya mamwinyi ambao hawapendi kujishughulisha.Hizi ni tuhuma tu labda nikuulize swali lini uliwai sikia Tanga kuna njaa watu wanaomba msaada ? katika mikoa masikini mitano ya mwisho Tanga haipo kabisa sasa wewe unazungumzia Tanga ipi ?
Ni kweli, lakini dash. ....Hapa watoe wasambaa.. Hawa ni tofauti kabisa na wabondei, wazigua na wadigo



Kuna Mmoja nilifanya nae kazi, yaani ofisi nzima walifanya kampeni mpaka Akahamishwa,Hata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.
Wana tabia za kuchimbana,kufuatiliana kwenye vitu vidogo vidogo na majungu.