Tanga... Kunani pale.?

Tanga... Kunani pale.?

Ukweli unauma, ni kwamba idadi kubwa ya watu wa Tanga ni roho korosho. Nimesoma nao, nimeishi nao, na nina fanya nao kazi.
Hata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.
Wana tabia za kuchimbana,kufuatiliana kwenye vitu vidogo vidogo na majungu.
 
Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako

1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Fuatilia hao unaosema wamefanya vizuri kama ni watoto wa Tanga.Mambo yenu yanajulikana bana.
 
wasambaa na wazigua sawa ni wapambanaji, wadigo na wabondei walewale tu baba moja mama moja..
Wadigo ni balaaa hao hawana mpinzani , wabondei afadhali nimeishi nao wanapiga kazi , halafu shule wamepiga kidogo
 
Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako

1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Ila hao sio wenyeji wa tanga
 
Hata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.
Wana tabia za kuchimbana,kufuatiliana kwenye vitu vidogo vidogo na majungu.
Hivi vitu vipo kila siku ata wachaga na wahaya kila siku wanasemwa humu kuwa ni wabinafsi , kwahiyo shutuma kwa binadamu ni kawaida
 
Vyuo vijengewe kulingana na mazingira ya mahali husika.

Ningekuwa mimi, Tanga ningejenga vyuo vya aina hii huko ugosini.

1.Bachelor/ master degree ya mahaba na mapenzi.

2..Bachelor/master degree ya uchawi na mambo ya ushirikina.

3.Bachelor/master degree ya umbea na maswala ya kujipodoa.
Waulizeni Viongozi wenu, Tanga ilikuwa best kuliko hata Dar, nini shida?
Kwani wenyeji wa Tanga ile wamehama?
Sasa kabla ya kujionesha kuwa una Ubongo kisoda walau tafakari.
Tanga ilikuwa ni industrial region nini shida mzee?.
Waulizeni wazee wenu hasa BM.

Na sasa mnataka kuimaliza Kaskazini, lakin soon mtaondoka
Na hiyo artificial city Chattle soon litakuwa boma la ng'ombe
 
Hivi vitu vipo kila siku ata wachaga na wahaya kila siku wanasemwa humu kuwa ni wabinafsi , kwahiyo shutuma kwa binadamu ni kawaida
Afadhali ya wahaya na wachaga wanawaza vitu vikubwa na ubinafsi wao unawasaidia kutoboa maisha.
Lakini hawa ndugu zangu Mimi wa pwani wanapoteza muda kumfuatilia mtu halaf bado wanaendelea kuwa maskini,ni kwa nini wasiutumie huo muda kuutokomeza umaskini?
 
Afadhali ya wahaya na wachaga wanawaza vitu vikubwa na ubinafsi wao unawasaidia kutoboa maisha.
Lakini hawa ndugu zangu Mimi wa pwani wanapoteza muda kumfuatilia mtu halaf bado wanaendelea kuwa maskini,ni kwa nini wasiutumie huo muda kuutokomeza umaskini?
Hizi ni tuhuma tu labda nikuulize swali lini uliwai sikia Tanga kuna njaa watu wanaomba msaada ? katika mikoa masikini mitano ya mwisho Tanga haipo kabisa sasa wewe unazungumzia Tanga ipi ?
 
Hizi ni tuhuma tu labda nikuulize swali lini uliwai sikia Tanga kuna njaa watu wanaomba msaada ? katika mikoa masikini mitano ya mwisho Tanga haipo kabisa sasa wewe unazungumzia Tanga ipi ?
Naongelea tanga ya mamwinyi ambao hawapendi kujishughulisha.
 
Hata Mimi niliwahi kusoma nao chuo Wana vijitabia vya kukera sana.
Wana tabia za kuchimbana,kufuatiliana kwenye vitu vidogo vidogo na majungu.
Kuna Mmoja nilifanya nae kazi, yaani ofisi nzima walifanya kampeni mpaka Akahamishwa,
 
Back
Top Bottom