meghan markle
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 489
- 1,196
Hahahahah usiende Mullers nenda TUMAINI kawaungishe ndugi zako 









Shukran mkuu,ngoja niende kwa Muller nikaagize kinywaji





Shukran mkuu,ngoja niende kwa Muller nikaagize kinywaji
Unajua shida ya JF wajuzi hawaongei mpo kimya,Na sasa mnataka kuimaliza Kaskazini, lakin soon mtaondoka
Na hiyo artificial city Chattle soon litakuwa boma la ng'ombe![]()
Hao wote hakuna mzaliwa wa Tanga.Wamesomea tu huko.Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yako
1.wasichana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa mmoja
2.wavulana 10 bora mchepuo wa biashara , Tanga imetoa 1
3.wasichana 10 bora mchepuo wa sayansa , Tanga imetoa 4
4. Wavulana 10 bora mchepuo wa sayansi , Tanga imetoa 0
5.Wahitimu 10 bora kitaifa (wavulana na wasichana) mchepuo wa Sayansi ,Tanga imetoa 1
6. Katika shule 10 bora kitaifa , Tanga imetoa 1
7. labda wewe uje useme mkoa wako na kipi kimefanya katika matokeo haya ya form 6
Angusha tu mkuu usiogope😀Madimba jr kuna cheche nataka kutoa hapa ila naogopa, lakini nimekuelewa mnoooo zaidi ya sana. Wewe ni mtu wa ndani
Ndio tunauliza Tanga ikifanya vibaya vinasaba hakuna, ila ikifanya vizuri mnauliza vinasaba!! nyie ni watu wa kupuuzwa , kinachofanyika Tanga ni heshima ya Tanga nzima full stop
Shukran mkuu,ngoja niende kwa Muller nikaagize kinywaji
Waja leo waondoka leo mwaya! Unga unatutosha.Tanga, kunani palee...mbona kila kitu kimekufa!?
Nilikua napitia guide book ya TCU. Nimeona vyuo vya Tanga vimepigwa panga tena. Ni kwamba wameshindwa kujipanga na kufanyia marekebisho maagizo ya TCU.
Hapa naongelea SEKOM na Euckenforde. Kwa mafano yuo kama Teofil Kisanji, Marian University, Kampala,Arch Bishop na Mihayo vimerejeshewa udahili. Ni kwamba wametekeleza maagizo ya TCU.
Tanga tunakwama wapi
SEKOM kwa mfano ni muda mrefu badala ya kukaa kujenga mustakabali wa chuo,wametumia nguvu nyingi kulaumu watu. Tulikua na mtu anaitwa Prof Kihiyo...he was very potential, na kimsingi ni mtu wa "system" lakini walimfanyia figisu zisizo na tija. Ila tunaamini wangemtumia vzr angewavusha hapa.
Utaona kwamba hii ni taasisi ya kidini lakini mambo yake yanaleta maswali. Euckenforde sijui wamekwama wapi...Tanga kunani?
SEKOMU ilibeba sana uchumi wa Lsht, watu wali invest kwenye biashara kubwa na ndogo, sasa hali itakua mbaya zaidi.
It pains kuona kwetu kunakufa,watu kama sisi tuna uwezo wa kupata fursa hapa na pale,lakini wengi wa ndugu zetu maisha yao yako pale,wapo waliokopa bank na wapo waliokua wanategemea day work "deiwaka" kuendesha familia zao....IT PAINS
Madimba jr kuna cheche nataka kutoa hapa ila naogopa, lakini nimekuelewa mnoooo zaidi ya sana. Wewe ni mtu wa ndani
Mamlaka haina mamlaka ya kuwateulia Mkuu was Chuo. Labda sijakuelewa.Sekom kuna shida iliyotokana na mambo ya kisiasa,...KKKT wanataka mkuu wa chuo awe Mlutheri wakati mamlaka ziliwaletea mkatoliki anayepokea maagizo toka juu
Ukisoma maandishi ya askofu Munga unaweza kuona shida iko wapi na yule Bagonza pia... Hawa hawaogopi kukosoa (kwa weledi)
😁😁😁 mkuu hebu nitajie maeneo mengine haya unanichosha tuBado huijui yote ushafika
Kwemakame?
Mtindio?
Vuli?
Gare?
Yoghoi?
Kwemsaa?
Kialilo?