Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Wana jamvini hivi kweli mtindi wa Tanga Fresh ni maziwa ya ngombe au mimi ni mpenzi sana wa mtindi lakini napata shida kidogo kuamini kama huo mtindi ni kweli maziwa ya ngombe
.mwenye jibu jamani