Mnantamanishaje.! Itabidi nije kuoa huko lol.!
Umeona eeh?kwa jinsi mtindi huo unavyokubalika ndani ya familia yangu,nilijua nimekwisha!Yani wewe umewaza vibaya kama mimi lolz.. Yani nilisikia tumbo lanikata. Nkajua tayari uziii unaleta habari za maududu ya hayo maziwa.. Mweeee
Mungu tusaidie!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nasikia kwenda bafuni, unabebwa mgongoni.Unapewa pia na visahani vidogo viwili; kimoja cha kuwekea sabuni na kingine......!