Septemba11
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 620
- 535
Kuna kibao tu kimeandikwa "Karibu Tanga" huku maeneo ya Pongwe..lakn hakuna kibao cha "Kwa Heri Tanga"....mana ukingia hutoki
Aiseee me mwenyewe ni mlevi sna wa mtindi wa tanga, daaaa Tanga kweli rahaaaa nlikaa miezi 2 hapo 2010 sehem inaitwa Nguvumali kiukweli sikutaman kuondoka ila ilinibidi kwan nlkuwa fild tu!