Duh ..kikubwa nisaidie mkuu..si unaona maisha yamekaza .Samahani nipo nje ya mada hivi panaitwa Toangoma Au Twangoma just kujua tu
twangoma hioNipo Tunduma huku siishi Dar
Mcheck huyo yuko Mbagala Kuu 0767207426 Dismas.Jamani nilikuwa nauza vitafunio tu ,lakini nilijaribu kuweka maziwa mtindi naona napata wateja wa mtindi.
Naomba msaada kwa nae fahamu sehemu mtindi unapatikan naweza kupata kuanzia Lita 10 hadi 20 maeneo ya mbagala, Kongo'e hadi Toangoma.
Haha!! Na ni Kongowe au Kong’oe?Samahani nipo nje ya mada hivi panaitwa Toangoma Au Twangoma just kujua tu
Thn Sorry Naomba namba zako tsap nina mambo unijuzeNipo Tunduma huku siishi Dar
ShukraniMcheck huyo yuko Mbagala Kuu 0767207426 Dismas.