Tanga eeh kunani pale!

Tanga eeh kunani pale!

Kabla hujaenda....huko ugawe mirathi kabisa....na wasome na hitima maana kurudi ni bahati nasibu.....

Wala si uchawi mkuu....bali ni mambo fulani ya mahaba....ambayo mtu hujawahi kukutana nayo.....

Hicho kitabu chao wanachochukulia huo ujuzi...kina kurasa takribani 30,000 na kila siku anatumia mstari mmoja wa mafundisho hayo....je mzee mwenzangu kuna kurudi hapo kweli.....labda mpaka amalize kurasa zote....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Kabla hujaenda....huko ugawe mirathi kabisa....na wasome na hitima maana kurudi ni bahati nasibu.....

Wala si uchawi mkuu....bali ni mambo fulani ya mahaba....ambayo mtu hujawahi kukutana nayo.....

Hicho kitabu chao wanachochukulia huo ujuzi...kina kurasa takribani 30,000 na kila siku anatumia mstari mmoja wa mafundisho hayo....je mzee mwenzangu kuna kurudi hapo kweli.....labda mpaka amalize kurasa zote....
haahaaaahaa!!! ntaomba ushauri na ujuzi kwa mzee mwenzangu mshanajr
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144]

Ndugu yangu huko acha kabisa.....huko hapajaribiwi.......

Mjomba alienda huko kujenga na kaacha familia kabisa....lakini ukawa ni utata.....baada ya kuona tunamsumbua kwenye simu akatupa kabisa na simu yenyewe.......
Mpaka leo yupo huko huko....sasa hivi na yeye anavaa misuli kama ana busha na fimbi kataftiwa.......

Wanandugu tuliwahi kumfuata kwa nguvu...na tukafanikiwa kumpandisha gari hadi nyumbani....tulipofika stendi ya nyumbani akaomba aende kununua vocha....kumbe ndio kakimbia tena karudi huko huko Tanga(Digo)

Wanandugu tukaamua kuachana na suala lake kwa maana limeshakuwa gumu....kwa kuwa tumeshajua mahali alipo basi.....
 
haahaaaahaa!!! ntaomba ushauri na ujuzi kwa mzee mwenzangu mshanajr

Huko hapatakiwi kushauriana maana unaweza ukawapa watu lawama.......
c9e113fa91c6d4f717f40aa05c825e94.jpg
 
Ndugu yangu huko acha kabisa.....huko hapajaribiwi.......

Mjomba alienda huko kujenga na kaacha familia kabisa....lakini ukawa ni utata.....baada ya kuona tunamsumbua kwenye simu akatupa kabisa na simu yenyewe.......
Mpaka leo yupo huko huko....sasa hivi na yeye anavaa misuli kama ana busha na fimbi kataftiwa.......

Wanandugu tuliwahi kumfuata kwa nguvu...na tukafanikiwa kumpandisha gari hadi nyumbani....tulipofika stendi ya nyumbani akaomba aende kununua vocha....kumbe ndio kakimbia tena karudi huko huko Tanga(Digo)

Wanandugu tukaamua kuachana na suala lake kwa maana limeshakuwa gumu....kwa kuwa tumeshajua mahali alipo basi.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaka umenivunja mbavu hapa nilipo lakini in reality Tanga hapafai
 
Kabla hujaenda....huko ugawe mirathi kabisa....na wasome na hitima maana kurudi ni bahati nasibu.....

Wala si uchawi mkuu....bali ni mambo fulani ya mahaba....ambayo mtu hujawahi kukutana nayo.....

Hicho kitabu chao wanachochukulia huo ujuzi...kina kurasa takribani 30,000 na kila siku anatumia mstari mmoja wa mafundisho hayo....je mzee mwenzangu kuna kurudi hapo kweli.....labda mpaka amalize kurasa zote....
Haha mpwaaaaaaa
 
Tanga raha, maeneo ya pongwe, mwakidila, mwahako, duga, chumbageni, msambweni na maeneo mengine kibaooo....
upate mchuchu aliyepitia unyagoni ambaye amehitimu mizungu yote 12
 
Tanga raha, maeneo ya pongwe, mwakidila, mwahako, duga, chumbageni, msambweni na maeneo mengine kibaooo....
upate mchuchu aliyepitia unyagoni ambaye amehitimu mizungu yote 12
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poleni Tanga
 
Back
Top Bottom