Je, Taifa letu lipo kwenye hali ya hatari?

Je, Taifa letu lipo kwenye hali ya hatari?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,936
Reaction score
12,396
Wakuu, huu ulinzi ambao nimeushuhudia katika viunga vya jiji la dar es salaam ni mwana ukome.

Askari wameoneka na silaha za moto katika makutano yote makubwa katika jiji hili, wakuu kunani katika jiji letu mambo haya mageni machoni mwetu.
 
Si ndio vizuri wanakuhakikishia usalama😎
 
Wakuu, huu ulinzi ambao nimeushuhudia katika viunga vya jiji la dar es salaam ni mwana ukome.

Askari wameoneka na silaha za moto katika makutano yote makubwa katika jiji hili, wakuu kunani katika jiji letu mambo haya mageni machoni mwetu.
Sabasaba
 
Sabasaba inachukiliwa siriasi, haijulikani ni mkwara tu au kweli. Askari wamechukulia kweli sabasaba ipo
 
Back
Top Bottom