TANESCO yaingia mkataba wa kukodi software kutoka India kwa USD 30M

Siyo lazima ukodi

Kukodi ni mbinu mpya ya software developers ili uwe mteja wao wa milele

Kuna software nyingi tu unanunua mara 1 tu na unapata free lifetime upgrades and updates
 
Very correct SIR!

Everything begins with a thought, and thoughts are turned into plans, and plans into reality​

 
Ndugu unachoandika hakipo au hujuwi ni nini unaongea

Ni bora unyamaze tu nimekuona muda mrefu unaongea pumba tu kwenye huu uzi
 
Siyo lazima ukodi

Kukodi ni mbinu mpya ya software developers ili uwe mteja wao wa milele

Kuna software nyingi tu unanunua mara 1 tu na unapata free lifetime upgrades and updates

Nimesema nyingi. Sio zote. Ziko mpaka za bure.

Amandla...
 
Hii inagharimu dola 155 kwa mwezi kwa mwaka ni usd 1860


Ni ya WordPress

Unachohitaji ni WordPress site (WordPress ni bure) na hiyo plugin

Kutoka hapo sasa unaweza kufanya reverse engineering ya source code ya hiyo plugin ukarekebisha hiyo software yako kwa mjibu wa mahitaji yako na ikawa yako milele bila kuhitaji kumlipa mtu kila mwaka au mwezi
 
Hata hizo chache kukodi au kununua ni UJINGA wako mwenyewe

Mimi sijawahi kunununua windows wala Microsoft Word miaka yote tangu niijue computer
Inaonyesha ulivyo mshamba huo ni uwizi kaka
Mfano
Juzi jamaa alienda marekani na alikua anatumia spss iliyokua crack, kitendo Cha kuingia New York city na kuacess wifi Ile spss ili disappear immediately

We ndo mjinga sababa unachofanya ni ujinga ndo maana watanzania wakija na software biashara kwasababu Kuna wajinga kama wewe unataka kutumia bure usionge mbele ya watu huu upupu tena
 
Ndugu unachoandika hakipo au hujuwi ni nini unaongea

Ni bora unyamaze tu nimekuona muda mrefu unaongea pumba tu kwenye huu uzi
Kama nimeandika kipo na wewe umekisoma. Labda wewe uwezo wako wa kuelewa kilichoandikwa ni mdogo.
 
Yaani Enterprise Resources Planning (ERP) ni 30M usd tena ya kukodi? Wakati wangeweza kutengeneza watu wa IT nchini. Hata sisi tuna uwezo wa kutengeneza hizo na CRM ni ufisadi
 
Huyo ni mjinga kama anaona kununua au kukodisha software ni ujinga

Kwa mentality yake anaweza support software ambayo imetengenezwa na mtanzania
Sasa wewe hata hujuwi tofauti ya usd na tsh unafikiri naweza kujibizana na wewe?

Bilioni 69 kwa ajili ya trial software ya erp ni wizi wa mchana kweupe

Tangaza hiyo tenda kwa Watanzania uone kama watashindwa kuunda hicho kisoftware uchwara
 
Ndio unaacha kumlipa mtanzania kwa tsh unaenda kupeleka dollars nje ya nchi tena kwa program za kawaida tu
 
Mbona huulizi wakati serikali inanunua software za Microsoft Windows? Kwa nini eGA hawaandiki OS itumike serikalini?
we jamaa pumba sana, kwani hujui kuna mifumo mingine ipo kwenye windows? kwa hiyo serikali iandike OS kisha ifuatie na utility softwares n.k issue ni kuwa huu mfumo ungeweza kutengenezwa na watanzania kama ambavyo mingine imetengenezwa na kutika mpaka sasa bila shida, hiyo kununua nje ni ishara ya upigaji,mboba watu hawajalalamika ndege kununuliwa nje??? sababu tunajua sio uwezo wetu, ila kwa hili hapana, wataalamu wa ndani ni muhimu wapewe fursa ili waweke ujuzi wao
 
Kuna swala la usalma pia yaan mfumo ukicrush kidogo wataalaam wanakuja unawalipia kila kitu ikiwepo perdiem kwa rate za dollars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…