Siyo lazima ukodiSiku hizi software nyingi zinakodishwa badala ya kuuzwa moja kwa moja. Faida ya kukodi ni kwamba kila wakati unapate updates na latest version ya hiyo software. Ukinunua, inakubidi kila mara ununue mpya. Hii ni gharama kubwa sana. Shida ya kukodi ni kuwa inategemea na vifaa vingapi unataka kufunga/kuunganisha hiyo software. Nyingine ni kuwa ukiacha kulipa kodi basi access yako nayo inakwenda na maji. Kwa mantik hii ni kuwa hii pesa iliyotajwa ni ya kila mwaka au kila baada ya kipindi walichokubaliana.
Amandla...
Unadhani ni kitu cha ajabu sana hiyo erp?Swali eGA ni erps
Ndugu unachoandika hakipo au hujuwi ni nini unaongeaKama wanayo si wangerekebisha halafu wangewapa Tanesco wanasubiri nini? Tena ERP software yetu tuanze kufanya export nayo kama biashara tuuze au tukodishe nchi zingine ituingizie hela. Tuendelee na kutengeneza hizo zingine tushindane na Microsoft, Android, Apple na makampunzi mengine tunazonunua software zao unaonaje bosi?
Siyo lazima ukodi
Kukodi ni mbinu mpya ya software developers ili uwe mteja wao wa milele
Kuna software nyingi tu unanunua mara 1 tu na unapata free lifetime upgrades and updates
Umesoma modules za huo mfumo wa eGa? unaweza kutuwekea modules za hiyo erps ya mahindra? unafahamu Power of the Authority(eGA) kwenye suala lolote la ICT au Mfumo wowote wa ICT unaohusu taasisi za Umma?Swali eGA ni erps
Hata hizo chache kukodi au kununua ni UJINGA wako mwenyeweNimesema nyingi. Sio zote. Ziko mpaka za bure.
Amandla...
Inaonyesha ulivyo mshamba huo ni uwizi kakaHata hizo chache kukodi au kununua ni UJINGA wako mwenyewe
Mimi sijawahi kunununua windows wala Microsoft Word miaka yote tangu niijue computer
Kama nimeandika kipo na wewe umekisoma. Labda wewe uwezo wako wa kuelewa kilichoandikwa ni mdogo.Ndugu unachoandika hakipo au hujuwi ni nini unaongea
Ni bora unyamaze tu nimekuona muda mrefu unaongea pumba tu kwenye huu uzi
Huyo ni mjinga kama anaona kununua au kukodisha software ni ujingaKama nimeandika kipo na wewe umekisoma. Labda wewe uwezo wako wa kuelewa kilichoandikwa ni mdogo.
Yaani Enterprise Resources Planning (ERP) ni 30M usd tena ya kukodi? Wakati wangeweza kutengeneza watu wa IT nchini. Hata sisi tuna uwezo wa kutengeneza hizo na CRM ni ufisadiWatanzania naona tulisahau kabisa ajenda ya ufisadi wakati wa Magufuli, mpaka sasa kuna ufisadi umefanyika fasta fasta bila ya watu hata kushtuka.
Mkataba uliosainiwa baina ya Serikali ya Tanzania (kupitia TANESCO) na kampuni ya Tech Mahindra ya India wenye thamani ya dola milioni 30 ni wa kukodisha software ya Enterprise Resources Planning (ERP) - ambayo wahindi hawa wenyewe wanaiita Corporate Management System (CMS), kama inavyosomeka kwenye bango pichani chini.
Software ya aina hii huwa inaunganisha vitengo vyote vya taasisi katika software moja kwa ajili ya urahisi wa kuendesha taasisi. Hivyo basi kwa lugha nyingine ni kwamba Wahindi hawa watafunguliwa milango ya kuingia kila mahali ndani ya TANESCO, na hivyo kuwa na siri zote za mfumo wetu wa umeme.
Jambo kama hili ni hatari sana kwa usalama wa taifa. Hakuna njia rahisi ya kuiangusha nchi bila ya kufyatua hata kombora moja kama kuangusha mfumo wa nchi wa umeme.
Software kama hizi serikali inatakiwa iwawezeshe wataalam wa ndani kupitia Mamlaka ya Serikali Mtandao kutengeneza, kama vile mfumo wa malipo serikalini ulivyotengenezwa na wataalam wetu wa ndani kwa kuwezeshwa na serikali.
Zabuni ya kukodisha software hii ilianzaga kwenye dakika za lala salama za utawala wa Kikwete. Hivyo basi kitendo cha zabuni hii kukaa benchi kwa miaka mitano ya Magufuli kinaonesha kuwa hakuwa amekubaliana nayo. Baada ya Magufuli kufa naona wadau wa zabuni hii wameiendeleza na kuimwagia wino fasta, kama wanavyotaka kufanya kuhusu bandari ya Bagamoyo.
Sasa wewe hata hujuwi tofauti ya usd na tsh unafikiri naweza kujibizana na wewe?Huyo ni mjinga kama anaona kununua au kukodisha software ni ujinga
Kwa mentality yake anaweza support software ambayo imetengenezwa na mtanzania
Ndio unaacha kumlipa mtanzania kwa tsh unaenda kupeleka dollars nje ya nchi tena kwa program za kawaida tuInawezekana kabisa. Ila itachukua muda kukamilisha miradi yote hiyo. Watu wenye akili kama zako wangeenda nje ya nchi kutafuta GePG.
eGa tayari software ya ERP wanayo, kama kuna mahitaji mahsusi ya Tanesco ingefanyiwa marekebisho, ili pesa zibaki hapahapa nchini mikononi mwa waTanzania.
we jamaa pumba sana, kwani hujui kuna mifumo mingine ipo kwenye windows? kwa hiyo serikali iandike OS kisha ifuatie na utility softwares n.k issue ni kuwa huu mfumo ungeweza kutengenezwa na watanzania kama ambavyo mingine imetengenezwa na kutika mpaka sasa bila shida, hiyo kununua nje ni ishara ya upigaji,mboba watu hawajalalamika ndege kununuliwa nje??? sababu tunajua sio uwezo wetu, ila kwa hili hapana, wataalamu wa ndani ni muhimu wapewe fursa ili waweke ujuzi waoMbona huulizi wakati serikali inanunua software za Microsoft Windows? Kwa nini eGA hawaandiki OS itumike serikalini?
Kuna swala la usalma pia yaan mfumo ukicrush kidogo wataalaam wanakuja unawalipia kila kitu ikiwepo perdiem kwa rate za dollarswe jamaa pumba sana, kwani hujui kuna mifumo mingine ipo kwenye windows? kwa hiyo serikali iandike OS kisha ifuatie na utility softwares n.k issue ni kuwa huu mfumo ungeweza kutengenezwa na watanzania kama ambavyo mingine imetengenezwa na kutika mpaka sasa bila shida, hiyo kununua nje ni ishara ya upigaji,mboba watu hawajalalamika ndege kununuliwa nje??? sababu tunajua sio uwezo wetu, ila kwa hili hapana, wataalamu wa ndani ni muhimu wapewe fursa ili waweke ujuzi wao
Thanks for this commentWahindi Tena Bora wangepewa hiyo tenda Korea kusini nahisi ndio nchi pekee duniani yenye kuaminika