Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 993
- 1,744
Siyo lazima ukodiSiku hizi software nyingi zinakodishwa badala ya kuuzwa moja kwa moja. Faida ya kukodi ni kwamba kila wakati unapate updates na latest version ya hiyo software. Ukinunua, inakubidi kila mara ununue mpya. Hii ni gharama kubwa sana. Shida ya kukodi ni kuwa inategemea na vifaa vingapi unataka kufunga/kuunganisha hiyo software. Nyingine ni kuwa ukiacha kulipa kodi basi access yako nayo inakwenda na maji. Kwa mantik hii ni kuwa hii pesa iliyotajwa ni ya kila mwaka au kila baada ya kipindi walichokubaliana.
Amandla...
Kukodi ni mbinu mpya ya software developers ili uwe mteja wao wa milele
Kuna software nyingi tu unanunua mara 1 tu na unapata free lifetime upgrades and updates