Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Nimestushwa na malipo ya tanesco kwa kampuni ya kitapeli ya wanasheria hapa nchini zaidi ya bilioni saba kesi ya DOWANS kesi ambayo tulishindwa............wanadai ni za kukodisha ukumbi, kuwalipa wanasheria wa nje kazi ambazo Tanesco ingeliweza kuzifanya yenyewe moja kwa moja hebu jisomme hii makala Tanesco yalipa mabilioni kesi ya Dowans