Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Tumelogwa ndio, na wachawi ni sisi wenyewe!.na mwenzake pia ni Mkono& Mkono advovates ambaye akishachota Mabilioni anakwenda na vimilioni na kutoa msaada jimboni kwakwe halafu tunashangilia kuwa huyu ndiye mbunge makini maana haongei Bungeni bali kuwa na vitendo kumbe vitendo vyenyewe ni kutugaiwa kiduchu cha fedha zetu anazotuibia, hivi tumelogwa??