TANESCO wamerudisha umeme saa mbili usiku

TANESCO wamerudisha umeme saa mbili usiku

Bora wangeondoka watu milioni 1 kuliko angeondoka Magufuli huyu atabaki kuwa shujaa na hilo limejiprove
baba na mama yako waondoke, dada zako waondoke, kaka zako waondoke, shangazi zako waondoke, wajomba zako waondoke na wote wanaokuhusu abaki magufuli
 
Hivi nyinyi TANESCO mnafahamu kuna wafanyabiashara wanaathirika kibiashara kutokana na huu mgao wenu? Na mbaya zaidi watu wana marejesho, na pia wanatakiwa kulipa kodi za TRA kwa wakati!!
Unafikiri wanajali

Tanzania ni nchi ya "bora liende tu"

Ova
 
Jana umeme umepita na PC yangu nawaza gharama za matengenezo sijui itakuwaje
 
Saa mbili hii umerudi karibia nchi nzima

Ifike mahari watanzania tuchukue maamuzi magumu kuhusu mambo yanavyoenderea

Hujuma za wanasiasa zinaathiri shughuli za wananchi moja kwa moja watoto wanakufa kwenye maikyubeta kwasababu ya ng'ombe mmoja mwenye majenereta yake au maslahi ya kisiasa kwenye umeme

Hili linchi linamuhitaji mtu katili na mkali kama baba yetu Magufuli

Bora wangeondoka watu milioni 1 kuliko angeondoka Magufuli huyu atabaki kuwa shujaa na hilo limejiprove
Ukitaka uishi kwa rahha mijini...achana na kulalamika achana wana siasa na ahadi zao.....
 
Back
Top Bottom