toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Saa mbili hii umerudi karibia nchi nzima
Ifike mahari watanzania tuchukue maamuzi magumu kuhusu mambo yanavyoenderea
Hujuma za wanasiasa zinaathiri shughuli za wananchi moja kwa moja watoto wanakufa kwenye maikyubeta kwasababu ya ng'ombe mmoja mwenye majenereta yake au maslahi ya kisiasa kwenye umeme
Hili linchi linamuhitaji mtu katili na mkali kama baba yetu Magufuli
Bora wangeondoka watu milioni 1 kuliko angeondoka Magufuli huyu atabaki kuwa shujaa na hilo limejiprove
Ifike mahari watanzania tuchukue maamuzi magumu kuhusu mambo yanavyoenderea
Hujuma za wanasiasa zinaathiri shughuli za wananchi moja kwa moja watoto wanakufa kwenye maikyubeta kwasababu ya ng'ombe mmoja mwenye majenereta yake au maslahi ya kisiasa kwenye umeme
Hili linchi linamuhitaji mtu katili na mkali kama baba yetu Magufuli
Bora wangeondoka watu milioni 1 kuliko angeondoka Magufuli huyu atabaki kuwa shujaa na hilo limejiprove