Hapo kwenye kuliwa na mchwa mzee umezidisha chumvi ingawa ni kweli Kuna urasimu sana
Hivi waziri huwa anazunguukaga site kweli, au anasubiria mafaili mezani tuWizara ya Nishati inaongozwa na mtu asiyejua anafanya nini
Mkuranga pwani ni zaidi ya matatizo.
Unajaza fomu lakini saveya kuja kwako bila maalifa ni ndoto. Hiyo ni savey, kuungwa ni Jambo jingine. Watu wanamaliza miezi bila kutembele, ukipiga simu unajisumbua. Meneja ndo hapokeagi simu kabisa labda za wakezake.




tanesco ni Jipu tena lisiloivaNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM




Tuambie zile nguzo bure nchi nzima ziko wapiGharama inatolewa mara baada ya mteja kufanya maombi ya umeme akapimiwa na kupatiwa gharama kwa maeneo ambayo miundombinu ya umeme imefika.Hakuna gharama ya nguzo wala vifaa vinavyotumika kukufungia umeme
Ndugu mpendwa Mteja wetuTuambie zile nguzo bure nchi nzima ziko wapi
Na kwanini malalamiko ya wananchi watendaji wenu hawayatatui
Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM




Afrika kizungumkuti. Uwezo wetu ni kuzalisha manabii wanaotaka uwape hela ili wakuombee upate hela.Mkuu jiongeze, iyo 27k yote inaenda tra kama kodi, tanesco hawana chao hapo
alaf ufungiwe umeme bure?
utakaa sanaaaaaa
Hizo taarifa zote unazotaka ni za nini hasa jibu hayo maswali Kwa faida ya wote hapa hapaNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Anakumbukwa na gengeAlisema"mtanikumbuka kwa mema"! Hao wafanyakazi wa Tanesco wanaoweka mgomo baridi kwa nini wasitimuliwe wote iwe fundisho kwa wengine! Wakirudi mtaani na wao wawe wanapanga foleni ya kuunganishiwa umeme ili wajifunze! Dr. JPM, we really miss you! May your precious soul rest in eternal peace and power our great African hero, amen!
Waziri ameleta shida, alisema nguzo ni bure.Malipo ya 27,000 yanalipwa kwenye nyumba yenye sifa ambayo ipo ndani ya mita 30,
Nyumba yako ikiwa mbali zaidi ya mita 30 na panahitaji nguzo inabidi usubirie mpaka Tenesco walete miundombinu yao Nguzo na waya ziwe karibu ndani ya mita 30 utalipa hiyo elf 27.
kama Nyumba yako iko mbali zaidi ya mita 30 sehemu yenyewe Nguzo basi tambuwa kuwa hauna vigezo na sifa ya Kulipa 27,000
kazi sana.Sidhani kama hii ni kweli mimi nimewekewa kwa bei hiyohiyo ya 27,000 nadhani zipo sababu zingine tuKama nilivyoandika hapo juu ni bora waziri wa nishati ukatengue kauli ya kuunganisha umeme kwa 27,000. Maana wanachi wengi hasa wenye umbali wa kuhitaji nguzo moja ama mbili sasa hivi hawahudumiwi kabisa. Ukitaka kupata control number unaambiwa ulipie angalau laki moja kwa kila nguzo na hiyo laki moja kwa kila nguzo haiingii serikalini.
Bei elekezi ya 27,000 imegeuka mwanya mpya wa kuomba rushwa kwenye ofisi za Tanesco. Hata nguzo walizosambaza mitaani wameziacha chini zinaliwa na mchwa mara baada ya kupewa bei hiyo elekezi.
Nashauri waziri wa nishati utembelee kule Dodoma mathalani maeneo ya Chidachi, Makulu, Mkonze, Miganga n.k. Kule utakuta nyumba nyingi zimekamilika lakini hazijaunganishwa na umeme wa Tanesco. Wenye kuweza wameamua kuweka Solar ili maisha yaendelee.
Je umeomba umeme kwa jina gani? Wilaya gani? Namba ya simu ipi?Sidhani kama hii ni kweli mimi nimewekewa kwa bei hiyohiyo ya 27,000 nadhani zipo sababu zingine tu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Ili tanesco ifanye kazi sawasawa inatakiwa iwekwe chini ya usimamizi maalumu. Serikali iingie gharama lakinu itasaidia kumaliza haya makandokando.Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Tuma taarifa hata inbox ( PM)ili tukuhudumie
Tujijkumbushe. Mwaka 2016 EWURA waliidhinishia TANESCO kupandisha gharama za utumiaji umeme kwa karibu asilimia 15. Baada ya Mkurugenzi Mkuu wa EWURA kutangaza ongezeko hilo mara moja Rais alitengua uteuzi wake. Tangu wakati huo karibu miaka mitano sasa, si TANESCO wala EWURA walidhubutu kuongeza gharama tofauti na yaliyokuwa mazoea yao. Tujikumbushe tu.