winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 225
- 193
Mimi ninavyojua , kwenye mashirika makubwa kuna kuwa na system za complain management, sasa huwezi fungua complain ya mteja bila kuwa na details zake kwa ajili ya resolution, ukisema kwamba anachukua tu details alafu hakuna linalofanyika hapo nitakuelewaNiliyasema haya kwenye comment yangu #6