Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,588 May 18, 2025 #1 Habarini za sahizi watu wa humu jukwaani. Mimi nina kero na TANESCO. TANESCO msiwe mnakata umeme huku kuna watu wengine ni machizi radio vichwa vyao vimejaa stress. Umeme ukikata radio haziongei kwa hio wanaanza kuongea wao wenyewe bila kuongeleshwa na mtu. Kwa hio jitahidini umeme msiwe mnakata.
Habarini za sahizi watu wa humu jukwaani. Mimi nina kero na TANESCO. TANESCO msiwe mnakata umeme huku kuna watu wengine ni machizi radio vichwa vyao vimejaa stress. Umeme ukikata radio haziongei kwa hio wanaanza kuongea wao wenyewe bila kuongeleshwa na mtu. Kwa hio jitahidini umeme msiwe mnakata.
kipanga85 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2024 Posts 2,673 Reaction score 7,256 May 18, 2025 #2 wanalijua hilo, hapo unampigia mbuzi gitaa
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,588 May 18, 2025 Thread starter #3 kipanga85 said: wanalijua hilo, hapo unampigia mbuzi gitaa Click to expand... Gita lipi?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,496 Reaction score 185,685 May 18, 2025 #4 Poleni sana... Cc: Mahondaw