G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,560
- 8,425
Habari za leo waungwana
Binafsi ninachoshwa sana na hii tabia ya Tanesco hapa Karatu,mitaa fulani inaitwa Njia ya ng'ombe kuelekea bashe,imekua ni tabia ya kila ifikapo saa moja ya jioni hawa watu wanakata umeme,na si hivyo tu. Mala nyingi katika kila jumapili umeme hukatwa kutwa nzima kuanzia asubuhi mpaka jioni
Katika miezi michache iliyopita kama miwili hivi,umeme katika mitaa hii uliwahi kukata wiki nzima.
Sasa najiuliza ni kipi kinacho wasumbua ilihali shirika linafanya biashara wanapata pesa, kama ni ubovu wa mitambo ni nini kinawazuia kurekebisha mpaka kuwe na kero kiasi hiki ya kukosa huduma,watumishi gani hawa mchana kote umeme unawaka na ikifika muda ambao watu tunahitaji umeme nyakati yenye giza ninyi mnakata umeme,kweni mnatupa huduma bure?
Sidhani jambo hili kama ni ubovu wa vifaa au la,maana kama ni ubovu pesa hua mnapeleka wapi iwapo hamrekebishi matatizo kila siku.
Naishia kuandika hapa jf kwa sababu tu sina mamlaka mi ni Raia,ningekua ni mwenye mamlaka hakika mngekoma.
Binafsi ninachoshwa sana na hii tabia ya Tanesco hapa Karatu,mitaa fulani inaitwa Njia ya ng'ombe kuelekea bashe,imekua ni tabia ya kila ifikapo saa moja ya jioni hawa watu wanakata umeme,na si hivyo tu. Mala nyingi katika kila jumapili umeme hukatwa kutwa nzima kuanzia asubuhi mpaka jioni
Katika miezi michache iliyopita kama miwili hivi,umeme katika mitaa hii uliwahi kukata wiki nzima.
Sasa najiuliza ni kipi kinacho wasumbua ilihali shirika linafanya biashara wanapata pesa, kama ni ubovu wa mitambo ni nini kinawazuia kurekebisha mpaka kuwe na kero kiasi hiki ya kukosa huduma,watumishi gani hawa mchana kote umeme unawaka na ikifika muda ambao watu tunahitaji umeme nyakati yenye giza ninyi mnakata umeme,kweni mnatupa huduma bure?
Sidhani jambo hili kama ni ubovu wa vifaa au la,maana kama ni ubovu pesa hua mnapeleka wapi iwapo hamrekebishi matatizo kila siku.
Naishia kuandika hapa jf kwa sababu tu sina mamlaka mi ni Raia,ningekua ni mwenye mamlaka hakika mngekoma.